pia Ib ipo kampala Internationa university, ile ya gongolamboto ila ile co B.com ile ni bachelor degree in international business, xo cc tupo wide mno, masters yake inapatikana UDSM na IFM tu, ila ya IFM sio B.com ile ni MBA IN INTERNATIONAL BUSINESS yaani masters of Business Administration In Internaional Business, xo mpango mzima kwa wana wa Ib upo hivo, na kuhusu mashavu ya ajira ni yaku toushaaaaa, mnataka niweke baadhi ya caria au kazi zenu kama IB hapa kwenye thread?