DA HUSTLA
JF-Expert Member
- Mar 5, 2012
- 3,805
- 4,107
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wala GONOkipindi totoz hazina UTI
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Wala GONO
Mtoto wa elf mbili we bila shaka50 Cent na Ja Rule hawajawahi kuja Bongo. Jay Z hakuja kwa ajili ya Fiesta. Aliletwa na Vodacom kwa shughuli za kijamii. Kina Joe wakachomekea concert.
Kumbe jigga ashawahigi kuja bongo😁😁
Kaswende usisahau ilikuwepoWala GONO
Kaswende usisahau ilikuwepoWala GONO
Jipakulie manyama mkuuUmetisha sana hii ngja nikawape kijweni kwanza nkawape madini vijana watoto wadogooooooooooooo
Mr CheeksKuna mshkaji yule aliimba Renee akavuliwa saa pale Diamond jubilee live.
Mpk leo mwulize bongo vp atakupa majibu mazuri tu.
Yah Huyo huyo alikua msela sana wabongo wakamuingiza mjini.Mr Cheeks
50 haikuwa 2008. Na niliingia diamond jubilee50 cent alishawahi kuja tena alikujana crew nzima ya G UNIT kwa udhamini wa TIGO kama sikosei mwaka 2008 na alipeform fresh tu mkuu ila aikuwa kwenye Fiesta
nitakuletea VIDEO akiperforme stejini na kundi zima la G UNIT
Kwaiyo na ww unaona kuwa mm ni mshamba kisa kuzingua hivo..? Bogus kbsa🥳JF ina washamba wengi hauko peke yako