Miss Curious
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 315
- 497
Kiukweli huyu kaka anayejulikana kama Hamisi Mmandi aka B 12 ni moja kati ya presenters wanaokobalika sana ktk industries ya bongo flavour na toka tumeanza kumsikiliza ni mda mrefu sana amekuwa ktk mahusiano ya kimapenzi na wanawake tofauti tofauti na sasa yupo na bibie Shadee
Wadogo zake kibao
1, Adam Mchovu
2, Dj D Omy
3, James Tupatupa wameoa yeye tatizo nini kaka yetu huyu hataki kuoa?
Oa bhana Dozen acha mambo zako wewe kama Jina unalo, Kazi unayo, Kampuni unayo, Mchumba unayo kwanini hutaki kuoa?
Wadogo zake kibao
1, Adam Mchovu
2, Dj D Omy
3, James Tupatupa wameoa yeye tatizo nini kaka yetu huyu hataki kuoa?
Oa bhana Dozen acha mambo zako wewe kama Jina unalo, Kazi unayo, Kampuni unayo, Mchumba unayo kwanini hutaki kuoa?