Miss Curious
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 315
- 497
Labda ndio huyo mchumba/demi.Ama Kweli uko curious😆😅
Polepole mkuu, usiwaamshe watu.😎😎JF ukiona Uzi kama huu ujue soon Ku a umbea unataka kuletwa ila sasa style ndio hii ya kuzunguka kidogo! Mtoa mada yupo DSM na anataka kwenda Morogoro lkn kaanzia DSM Mtwara kwanza!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]JF ukiona Uzi kama huu ujue soon Ku a umbea unataka kuletwa ila sasa style ndio hii ya kuzunguka kidogo! Mtoa mada yupo DSM na anataka kwenda Morogoro lkn kaanzia DSM Mtwara kwanza!
Kuoa si sawa na kununua mchicha sokoni,Maana ya kuoa au kuolewa ni inamaana kubwa mno,Na ukioa kisa fulani kaoa imekulaKiukweli huyu kaka anayejulikana kama Hamisi Mmandi aka B 12 ni moja kati ya presenters wanaokobalika sana ktk industries ya bongo flavour na toka tumeanza kumsikiliza ni mda mrefu sana amekuwa ktk mahusiano ya kimapenzi na wanawake tofauti tofauti na sasa yupo na bibie Shadee
Wadogo zake kibao
1, Adam Mchovu
2, Dj D Omy
3, James Tupatupa wameoa yeye tatizo nini kaka yetu huyu hataki kuoa?
Oa bhana Dozen acha mambo zangu Jina unalo, Kazi unayo, Kampuni unayo, Mchumba unayo kwanini hutaki kuoa?