FAJES
JF-Expert Member
- Oct 29, 2017
- 720
- 644
Wanabodi, naweza kuonekana kama mtu niliye na ufahamu mdogo kwa kukosa uelewa wa jambo dogo sana kama hili.
Lakini, ni swali ambalo sijafanikiwa kupata majibu kwa kipindi kirefu sasa, maana nilimezeshwa tu tangia huko darasa la ukwanza (Primary). Nimejaribu pia ku-google ila sijafanikiwa kupata jibu murua.
Inaeleweka vema kuwa, tunaposema labda 20BK maana yake ni miaka 20 baada ya Kristo kuzaliwa. Sasa tunaposema 20KK ni miaka 20 Kabla ya Kristo kuanzia lini.? Tangu kuumbwa kwa ulimwengu ama.? Na je, mwaka wa mwisho ulikuwa mwaka upi na ndipo ikwa mwaka 0 (sufuri) na kisha tukaanza mwaka 1 yaani 1BK.?
Wajuvi wa mambo haya tafadharini naomba mniondolee tongotongo katika hili jambo ili nami niwe sawa kama mlivyo ninyi juu ya jambo hili.
Wasalaam,
FAJES.
Lakini, ni swali ambalo sijafanikiwa kupata majibu kwa kipindi kirefu sasa, maana nilimezeshwa tu tangia huko darasa la ukwanza (Primary). Nimejaribu pia ku-google ila sijafanikiwa kupata jibu murua.
Inaeleweka vema kuwa, tunaposema labda 20BK maana yake ni miaka 20 baada ya Kristo kuzaliwa. Sasa tunaposema 20KK ni miaka 20 Kabla ya Kristo kuanzia lini.? Tangu kuumbwa kwa ulimwengu ama.? Na je, mwaka wa mwisho ulikuwa mwaka upi na ndipo ikwa mwaka 0 (sufuri) na kisha tukaanza mwaka 1 yaani 1BK.?
Wajuvi wa mambo haya tafadharini naomba mniondolee tongotongo katika hili jambo ili nami niwe sawa kama mlivyo ninyi juu ya jambo hili.
Wasalaam,
FAJES.