Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, nashukuru kwa maelezo yako fikirishi na kinzani kwa upande flani. Pamoja na utofauti huo, ni mawazo yangu kuwa, baada ya kujifunza kutoka katika references mbalimbali (i.e Archeaological and Biblical), ni kazi ya msomaji kukaa chini na kuuchambua ukweli yeye mwenyewe.Mkuu, Biblia sio kitabu cha historia ingawa kina historia ambayo mara nyingine Wana historia wanakubaliana nayo. Hivyo, usitumie Biblia kuthibitisha ukweli wa Archeologists au kuwakanusha wanasayansi wengine. Archeology inahesabu miaka tofauti kabisa na Biblia, Archeologists wanasema binadamu alipitia hatua kadhaa miaka milioni kadhaa iliyopita kutoka nyani/sokwe hadi kuonekana kama alivyo leo wakati Biblia inasema mwanadamu aliumbwa akiwa mtu kamili kama anavyoonekana leo na kuwa kutoka uumbaji hadi leo haijafika hata miaka elfu 10.
Biblia ni kitabu cha kiimani wakati wanasayansi wanataka facts ingawa hiyo ya evolution kutoka kuwa homosapiens hadi kuwa mtu haina facts zozote.
Vv
Sahihi kabisa, mkuu.Mkuu, nashukuru kwa maelezo yako fikirishi na kinzani kwa upande flani. Pamoja na utofauti huo, ni mawazo yangu kuwa, baada ya kujifunza kutoka katika references mbalimbali (i.e Archeaological and Biblical), ni kazi ya msomaji kukaa chini na kuuchambua ukweli yeye mwenyewe. Kutokana na kiwango cha imani ya mtu na mtu kutofautiana, ni sahihi pia nikihitimisha kwa kusema kuwa, historia kutokana na BIBLIA ndiyo main reference to consider kutokana na kiwango changu cha imani. Hali kadhalika, hoja hii inaweza kuwa haina uzito na maana kubwa kwa mtu mwingine kulingana na kiwango chake cha imani. Hivyo, katika hoja hii kwa upande wangu nadhani kuwa, imani ya mtu ni " main driving factor' ya argument zake.
Mkuu, nilimanisha B.K = Baada ya Kristo au AD(After Dominion) kwa lugha ya Malkia ...