B.K inahesabika ni miaka kadhaa ukirejea baada ya Kristo, K.K ni miaka kadhaa kabla ya kuzaliwa Kristo tangu lini.?

Mkuu, nashukuru kwa maelezo yako fikirishi na kinzani kwa upande flani. Pamoja na utofauti huo, ni mawazo yangu kuwa, baada ya kujifunza kutoka katika references mbalimbali (i.e Archeaological and Biblical), ni kazi ya msomaji kukaa chini na kuuchambua ukweli yeye mwenyewe.

Kutokana na kutofautiana kwa kiwango cha Imani baina ya mtu na mtu, ni sahihi pia nikihitimisha kwa kusema kuwa, historia kutokana na BIBLIA ndiyo main reference to consider kutokana na kiwango changu cha imani. Hali kadhalika, hoja hii inaweza kuwa haina uzito na maana kubwa kwa mtu mwingine kulingana na kiwango chake cha imani. Hivyo, katika hoja hii kwa upande wangu nadhani kuwa, imani ya mtu ni " main driving factor' ya argument zake.
 
Sahihi kabisa, mkuu.

Vv
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…