Diamond n mbish na ww HOD,bet hata shule huna kichwan,Dangote alipost advert ya WCB instagram tukamshaur wengi kuwa watu weng wanampenda yy na vitu vyake bt kwenye hzo tshirt alitoe neno baby aweke line kama tshirt moja alivoidesgn,au akishindwa bas aweke kwa kifupi tuuu (WCB) inatosha sasa yy anaweka na baby as if tshirt zote n special kwa ajili ya dem ake Wema,nakwambia hata mumpe Kikwete avae hamtouza zaid ya copy 500 tho Dai anapendwa sana na raia....
Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨