Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
Nani sasa? Head of Department aka KijiFenesi nini?
lazma itakua wabishi wa kushauriwa kwenye hayo mavazi yao
Na zinanunuliwa sana
Tatizo exposee....alafu kuwa classy ni atitude.ata peter okoye alisema hakualika mtu yyte from east africa bt he felt good to see diamond at d paty( literarly ayo ni matusi)
Na zinanunuliwa sana
Kwa hiyo domo alijipeleka bila mwaliko na kujipenyeza mlangoni?hataree!!
Afisa habari wa diamond ni mwehu sna, Sa lazima uweke ma ndita yako humo???