mbona nyinyi mapadri wenu wanafilwa mbona sisi hatusemi kitu
wewe tukipata watu 10 humu jf wanaokurupuka kama wewe jukwaani tutakuwa tunacheka tu muda wote.Amni usiamini chuo bora kinachotoa elimu bora na ya ukweli yaani mabingwa wa tasnia ya fani ya ualimu i mum pekee hp tanzania
wabillah tawfiq
he!mlimfanyia interview! kwani wewe ni mwalimu mkuu?Kuna kijana amemaliza hapo, tulimfanyia interview haki ya mama nilimwambia arudi ajipange upya, mbaya zaidi vyeti vyake vilionesha kapata distinction. Niliamini kuwa MUM is nothing but a Glorified High School!
Za kuambiwa changanya na zako......Amni usiamini chuo bora kinachotoa elimu bora na ya ukweli yaani mabingwa wa tasnia ya fani ya ualimu i mum pekee hp tanzania
wabillah tawfiq
Bado na kiswahili ni vigumu kukielewa kweli hata kama ni lugha ya kwanza kwa sisi tulio wengi. Interview huwa inafanywa na mwalimu Mkuu? Well, inategemea "interview" inamaanisha nini kwako na ina lengo gani!!! But kwa hili ni kuwa huyo bwana alikuwa ametuma maombi ya kazi ndo tukamfanyia hiyo Interview. Swali zaidi?he!mlimfanyia interview! kwani wewe ni mwalimu mkuu?
Wahitimu wa MUM hawahajiriki kwa kuwa wamekuwa wakionyesha uwezo mdogo sana makazini,ata walimu wao ni vilaza sana..mtu anayevaa bagarashia toka lini akawa na akili za zaidi ya kujua kuchinja kuku tu alafu anaomba apewe firigisi akimaliza kuchinja.
how can you differentiate finance dept with accounting dept
kwa sababu chuo chenyewe si kinatoa shahada za ualimu; ndo maana nikakuuliza hivyo.Bado na kiswahili ni vigumu kukielewa kweli hata kama ni lugha ya kwanza kwa sisi tulio wengi. Interview huwa inafanywa na mwalimu Mkuu? Well, inategemea "interview" inamaanisha nini kwako na ina lengo gani!!! But kwa hili ni kuwa huyo bwana alikuwa ametuma maombi ya kazi ndo tukamfanyia hiyo Interview. Swali zaidi?
kafiri mkubwa, ALLAH akupe mitihan mikubwa na midogo had kufa kwako' wew unavyonyoa kiduku chako unajiona wa maana sana kumbe unapotea njia' INNALILLAH WAINNA ILLAIH RAJIGHUN'
ofisini kwetu alikuja mhitimu wa UDSM Bcom ACCOUNTING aliulizwa swali moja tu...na akachemka tukamtimua tena aliulizwa how can you differentiate finance dept with accounting dept alichemka na cheti chake kina GPA ya 3.6 je huyu naye kasoma MUM?mimi ni mhitimu wa MUM nakwambia ukiniweka na hizo takataka za UDSM SUA nk nawapoteza vbaya
kafiri mkubwa, ALLAH akupe mitihan mikubwa na midogo had kufa kwako' wew unavyonyoa kiduku chako unajiona wa maana sana kumbe unapotea njia' INNALILLAH WAINNA ILLAIH RAJIGHUN'