mdogo wangu ebu jifunze hata kuandika vizuri ili usaidiwe mawazo kwa dhati kabisa maana hapo nilipobold sijapaelewa pia...haya labda nikuulize a'level ulifanya kozi gani?na wewe labda matamanio yako ni kuwa katika field gani?
mdogo wangu ebu jifunze hata kuandika vizuri ili usaidiwe mawazo kwa dhati kabisa maana hapo nilipobold sijapaelewa pia...haya labda nikuulize a'level ulifanya kozi gani?na wewe labda matamanio yako ni kuwa katika field gani?