BA-PSM ,MUCCOBs

Mpigamsuli

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2012
Posts
3,885
Reaction score
582
wana jf hii kozi ya procurement nimeichagua pale MUCCOBs na vip suala la ajira naweza pata ajira yenye mshahara mzuri!
 
kumbuka muccobs hakuna kuuza sura shule kwenda mbele .soma ukimaliza ufanye mitihan ya bodi ndo uanze kuulizwa maswala ya mshahara
 
We gangamara 2 faulu inalipa kiasi chake
 
kaka stany mitihani ya bodi ndo ipi iyo plz
 
Nbaa au? Nikishaifanya ndo napata kazi au?
 
Kwani siwez kupata kazi bila kufanya iyo mitihani ya bodi?
 
Why dont you go for bcom pale udsm?
 
Nbaa au? Nikishaifanya ndo napata kazi au?
 
kiongozi masomo mengi cku hizi ukimaliza Degree ya kwanza itakubidi ufanye mitihan ambayo hutolewa na bodi husika kwa mfano wahasibu hufanya mitiani ya kuwa certify kama Public accountants ie certified public accountant cpa na mithan hii inatolewa na bodi ya nbaa.kadhalika na maafisa ugav4 hufanya mitian inayokuwa administered bod ya pspt.hii ni ili kufanya wanafunzi kutoka vyuo vyote wawe na standard yakufanana.
 
soma upate knowledge mtzamo wako ukiwa na fikra za kujiajiri na/kuajiri ajira iwe secondary objective.
 
kwani kaka ajira za ba-psm ,ni ishu?
 
VP KUHUSU KUBAKI HAPO MUCCOBs KAMA MWALIMU?
 

Muccobs ni chuo cha serikali. Ajira zote za serikali zimehamishiwa na hufanywa na wizara ya ajira na utumishi.
Kabla ya suala la ajira kuwa centralized. Muccobs wangekuajiri moja kwa moja.Sasa ivi ni tofauti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…