Baa za Dar hazijui kupiga kelele, MWANZA Kuna baa inapiga mziki unafika kata 5.

Baa za Dar hazijui kupiga kelele, MWANZA Kuna baa inapiga mziki unafika kata 5.

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Chini ya chuo Cha TIA Kuna chimbo linaitwa Green View linapiga live band usiku mzima.
Mziki wake ukiwa kata ya Mahina, Mhandu, Mecco, Buzuruga na maeneo mengine ya karibu usiku mzima Ni mwendo wa live band mwanzo mwisho.
Na wamiliki wanasema mziki wao wamefungulia asilimia 1 sijui hali itakuwaje siku wakiwasha 2%.
Hawa jamaa nawapa maua yao.
 
Chini ya chuo Cha TIA Kuna chimbo linaitwa Green View linapiga live band usiku mzima.
Mziki wake ukiwa kata ya Mahina, Mhandu, Mecco, Buzuruga na maeneo mengine ya karibu usiku mzima Ni mwendo wa live band mwanzo mwisho.
Na wamiliki wanasema mziki wao wamefungulia asilimia 1 sijui hali itakuwaje siku wakiwasha 2%.
Hawa jamaa nawapa maua yao.
Hiyo inaitwa mwanza live
 
Chini ya chuo Cha TIA Kuna chimbo linaitwa Green View linapiga live band usiku mzima.
Mziki wake ukiwa kata ya Mahina, Mhandu, Mecco, Buzuruga na maeneo mengine ya karibu usiku mzima Ni mwendo wa live band mwanzo mwisho.
Na wamiliki wanasema mziki wao wamefungulia asilimia 1 sijui hali itakuwaje siku wakiwasha 2%.
Hawa jamaa nawapa maua yao.
Mmiliki wa hiyo bar ya mwanza live ndiye mmiliki wa shetembaa baa ya pale mecco.
 
Wewe mjanja unatoka mkoa gani? Na je kabila lako linaunda hata wilaya moja peke yake?
we unavyofikiri idadi ya nyumbu na ya simba ipi kubwa? Uwingi ndiyo akili? Ni kweli wasukuma ni washamba ukitaka kujua warejee Kasheku, Kishimba, watu vijihela kidogo akiongea bungeni ni nyodo, ni kutukana elimu, kujifanya wajua kumbe hata barua ya kutongoza demu hawawezi kuandika. We mtu anakuaandalia budget, anakuandalia muswada, km una kesi anakuandalia wrutten statement of defence(WSD) bado unataka kuonesha dharau kisa vijisenti vyako vya ndagu? Karibu kila kabila ina watu wenye pesa huwezi sikia nyodo na sifa za kijinga km za wasukuma, ni ushamba.
 
we unavyofikiri idadi ya nyumbu na ya simba ipi kubwa? Uwingi ndiyo akili? Ni kweli wasukuma ni washamba ukitaka kujua warejee Kasheku, Kishimba, watu vijihela kidogo akiongea bungeni ni nyodo, ni kutukana elimu, kujifanya wajua kumbe hata barua ya kutongoza demu hawawezi kuandika. We mtu anakuaandalia budget, anakuandalia muswada, km una kesi anakuandalia wrutten statement of defence(WSD) bado unataka kuonesha dharau kisa vijisenti vyako vya ndagu? Karibu kila kabila ina watu wenye pesa huwezi sikia nyodo na sifa za kijinga km za wasukuma, ni ushamba.
Kuanzia Leo wewe saigilomagema ni rafiki yangu.
Umenifurahisha Sana hapo kwenye nyumbu. Big up.
 
we unavyofikiri idadi ya nyumbu na ya simba ipi kubwa?
Nyumbu ni wengi kwa sababu wanazaliana sana, Simba mchovu tu na yuko hatarini kupotea asipohifadhiwa vizuri
Uwingi ndiyo akili?
Sanaa, zunguka kwenye mashule kote nchini hadi vyuoni utashangaa sana kukuta watu wenye mashina ya kisukuma.

Tena unaweza ukastaajabu Mbeya, Rukwa, Morogoro, Singida, Dodoma, Mtwara, Iringa, Ruvuma wasukuma ni wengi kuliko wakazi asili
Ni kweli wasukuma ni washamba
Taja kabila lako we kiazi
ukitaka kujua warejee Kasheku, Kishimba, watu vijihela kidogo akiongea bungeni ni nyodo, ni kutukana elimu,
Musukuma na kashimba mkoa wenu woote hauwafikii kwa hela yani GDP ya mkoa wako haiwagusi wao na nina uhakika kikabila chako kipo wilayani na ni kidogo sana.
kujifanya wajua kumbe hata barua ya kutongoza demu hawawezi kuandika. We mtu anakuaandalia budget, anakuandalia muswada, km una kesi anakuandalia wrutten statement of defence(WSD) bado unataka kuonesha dharau kisa vijisenti vyako vya ndagu? Karibu kila kabila ina watu wenye pesa huwezi sikia nyodo na sifa za kijinga km za wasukuma, ni ushamba.
Ulimbukeni huu na ulofa, ndagu ni neno la kisukuma ubhebhe uligwa?
Yani mimi na usukuma wangu hamna mwanamke simkazi kutoka katika kikabila chako
 
Chini ya chuo Cha TIA Kuna chimbo linaitwa Green View linapiga live band usiku mzima.
Mziki wake ukiwa kata ya Mahina, Mhandu, Mecco, Buzuruga na maeneo mengine ya karibu usiku mzima Ni mwendo wa live band mwanzo mwisho.
Na wamiliki wanasema mziki wao wamefungulia asilimia 1 sijui hali itakuwaje siku wakiwasha 2%.
Hawa jamaa nawapa maua yao.
Umenikumbusha green view nilikuwa nakula vitu vyangu huku namsubiri beby wangu alikua hapo TIA.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ubebe ulighwa pumbavu sana wewe jamaa umejua kunifurahisha
Nyumbu ni wengi kwa sababu wanazaliana sana, Simba mchovu tu na yuko hatarini kupotea asipohifadhiwa vizuri

Sanaa, zunguka kwenye mashule kote nchini hadi vyuoni utashangaa sana kukuta watu wenye mashina ya kisukuma.

Tena unaweza ukastaajabu Mbeya, Rukwa, Morogoro, Singida, Dodoma, Mtwara, Iringa, Ruvuma wasukuma ni wengi kuliko wakazi asili

Taja kabila lako we kiazi

Musukuma na kashimba mkoa wenu woote hauwafikii kwa hela yani GDP ya mkoa wako haiwagusi wao na nina uhakika kikabila chako kipo wilayani na ni kidogo sana.

Ulimbukeni huu na ulofa, ndagu ni neno la kisukuma ubhebhe uligwa?
Yani mimi na usukuma wangu hamna mwanamke simkazi kutoka katika kikabila chako
 
Hivi faida ya mziki mkubwa huwa ni yapi kwenye maeneo ya starehe, harusini, nyumba za ibada na msibani. Inakuwaje umeenda eneo husika ila huwezi kuongea na mwenzio mkaelewana hadi uongee kwa kupayuka ndo anasikia au simu ikiingia inabidi utoke nje ya eneo kwenda kuongea! Faida ya miziki mikubwa ni ipi. Na je kwa mliofanikiwa kutoka nje ya kusini mwa jangwa la sahara haya mambo pia yako hivo huko dunia nyingine?
 
Back
Top Bottom