Baa za Dar hazijui kupiga kelele, MWANZA Kuna baa inapiga mziki unafika kata 5.

Baa za Dar hazijui kupiga kelele, MWANZA Kuna baa inapiga mziki unafika kata 5.

Chini ya chuo Cha TIA Kuna chimbo linaitwa Green View linapiga live band usiku mzima.
Mziki wake ukiwa kata ya Mahina, Mhandu, Mecco, Buzuruga na maeneo mengine ya karibu usiku mzima Ni mwendo wa live band mwanzo mwisho.
Na wamiliki wanasema mziki wao wamefungulia asilimia 1 sijui hali itakuwaje siku wakiwasha 2%.
Hawa jamaa nawapa maua yao.
Sasa hayo maeneo asilimia kubwa si ni kama yamezungukwa na mapori kwanini mziki usisambae sehemu kubwa.
 
we unavyofikiri idadi ya nyumbu na ya simba ipi kubwa? Uwingi ndiyo akili? Ni kweli wasukuma ni washamba ukitaka kujua warejee Kasheku, Kishimba, watu vijihela kidogo akiongea bungeni ni nyodo, ni kutukana elimu, kujifanya wajua kumbe hata barua ya kutongoza demu hawawezi kuandika. We mtu anakuaandalia budget, anakuandalia muswada, km una kesi anakuandalia wrutten statement of defence(WSD) bado unataka kuonesha dharau kisa vijisenti vyako vya ndagu? Karibu kila kabila ina watu wenye pesa huwezi sikia nyodo na sifa za kijinga km za wasukuma, ni ushamba.
Mkuu umemkomesha huyo msukuma aliyejileta kiboya, umempa majibu konki harudii tena.
 
wachaga endeleeni kufanya mapenzi na watoto wenu na kufanya Kila aina ya uovu ili mpate pesa,hamna jipya
 
we unavyofikiri idadi ya nyumbu na ya simba ipi kubwa? Uwingi ndiyo akili? Ni kweli wasukuma ni washamba ukitaka kujua warejee Kasheku, Kishimba, watu vijihela kidogo akiongea bungeni ni nyodo, ni kutukana elimu, kujifanya wajua kumbe hata barua ya kutongoza demu hawawezi kuandika. We mtu anakuaandalia budget, anakuandalia muswada, km una kesi anakuandalia wrutten statement of defence(WSD) bado unataka kuonesha dharau kisa vijisenti vyako vya ndagu? Karibu kila kabila ina watu wenye pesa huwezi sikia nyodo na sifa za kijinga km za wasukuma, ni ushamba.
Kama wew ndo mweny hii elimu ,bas msukuma anahaki ya kuponda.
 
Kwa population , nyumba na heka heck zilizo dar ni ngumu huo mziki kutoboa
 
Ninazijua zote hizo mkuu, huko sio katikati ya mji ni pembeni mwa jiji.
Kwamba buzuruga, Mecco ni pemben mwa mji [emoji23][emoji23][emoji23] duh.Kwa mwanza pemben ya mji ni nyanguge huko magu
 
Back
Top Bottom