MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Hiyo inaitwa mwanza liveChini ya chuo Cha TIA Kuna chimbo linaitwa Green View linapiga live band usiku mzima.
Mziki wake ukiwa kata ya Mahina, Mhandu, Mecco, Buzuruga na maeneo mengine ya karibu usiku mzima Ni mwendo wa live band mwanzo mwisho.
Na wamiliki wanasema mziki wao wamefungulia asilimia 1 sijui hali itakuwaje siku wakiwasha 2%.
Hawa jamaa nawapa maua yao.
Mmiliki wa hiyo bar ya mwanza live ndiye mmiliki wa shetembaa baa ya pale mecco.Chini ya chuo Cha TIA Kuna chimbo linaitwa Green View linapiga live band usiku mzima.
Mziki wake ukiwa kata ya Mahina, Mhandu, Mecco, Buzuruga na maeneo mengine ya karibu usiku mzima Ni mwendo wa live band mwanzo mwisho.
Na wamiliki wanasema mziki wao wamefungulia asilimia 1 sijui hali itakuwaje siku wakiwasha 2%.
Hawa jamaa nawapa maua yao.
Mkuu wa mkoa alishawazuia nemc wasifunge barNemc wako live wanapitia maon yako
Wewe mjanja unatoka mkoa gani? Na je kabila lako linaunda hata wilaya moja peke yake?Wasukuma Ni washamba Sana. Wanadhani mziki ukiwa wa sauti ya juu kila mtu anaufurahia.
we unavyofikiri idadi ya nyumbu na ya simba ipi kubwa? Uwingi ndiyo akili? Ni kweli wasukuma ni washamba ukitaka kujua warejee Kasheku, Kishimba, watu vijihela kidogo akiongea bungeni ni nyodo, ni kutukana elimu, kujifanya wajua kumbe hata barua ya kutongoza demu hawawezi kuandika. We mtu anakuaandalia budget, anakuandalia muswada, km una kesi anakuandalia wrutten statement of defence(WSD) bado unataka kuonesha dharau kisa vijisenti vyako vya ndagu? Karibu kila kabila ina watu wenye pesa huwezi sikia nyodo na sifa za kijinga km za wasukuma, ni ushamba.Wewe mjanja unatoka mkoa gani? Na je kabila lako linaunda hata wilaya moja peke yake?
Kuanzia Leo wewe saigilomagema ni rafiki yangu.we unavyofikiri idadi ya nyumbu na ya simba ipi kubwa? Uwingi ndiyo akili? Ni kweli wasukuma ni washamba ukitaka kujua warejee Kasheku, Kishimba, watu vijihela kidogo akiongea bungeni ni nyodo, ni kutukana elimu, kujifanya wajua kumbe hata barua ya kutongoza demu hawawezi kuandika. We mtu anakuaandalia budget, anakuandalia muswada, km una kesi anakuandalia wrutten statement of defence(WSD) bado unataka kuonesha dharau kisa vijisenti vyako vya ndagu? Karibu kila kabila ina watu wenye pesa huwezi sikia nyodo na sifa za kijinga km za wasukuma, ni ushamba.
Nyumbu ni wengi kwa sababu wanazaliana sana, Simba mchovu tu na yuko hatarini kupotea asipohifadhiwa vizuriwe unavyofikiri idadi ya nyumbu na ya simba ipi kubwa?
Sanaa, zunguka kwenye mashule kote nchini hadi vyuoni utashangaa sana kukuta watu wenye mashina ya kisukuma.Uwingi ndiyo akili?
Taja kabila lako we kiaziNi kweli wasukuma ni washamba
Musukuma na kashimba mkoa wenu woote hauwafikii kwa hela yani GDP ya mkoa wako haiwagusi wao na nina uhakika kikabila chako kipo wilayani na ni kidogo sana.ukitaka kujua warejee Kasheku, Kishimba, watu vijihela kidogo akiongea bungeni ni nyodo, ni kutukana elimu,
Ulimbukeni huu na ulofa, ndagu ni neno la kisukuma ubhebhe uligwa?kujifanya wajua kumbe hata barua ya kutongoza demu hawawezi kuandika. We mtu anakuaandalia budget, anakuandalia muswada, km una kesi anakuandalia wrutten statement of defence(WSD) bado unataka kuonesha dharau kisa vijisenti vyako vya ndagu? Karibu kila kabila ina watu wenye pesa huwezi sikia nyodo na sifa za kijinga km za wasukuma, ni ushamba.
Hapo shetembaa Kuna kila Aina ya Malaya si mchezo aise.Kuna hyo shetembaa na Taiwan...yaan usiku kucha ni mikelele tu
Umenikumbusha green view nilikuwa nakula vitu vyangu huku namsubiri beby wangu alikua hapo TIA.Chini ya chuo Cha TIA Kuna chimbo linaitwa Green View linapiga live band usiku mzima.
Mziki wake ukiwa kata ya Mahina, Mhandu, Mecco, Buzuruga na maeneo mengine ya karibu usiku mzima Ni mwendo wa live band mwanzo mwisho.
Na wamiliki wanasema mziki wao wamefungulia asilimia 1 sijui hali itakuwaje siku wakiwasha 2%.
Hawa jamaa nawapa maua yao.
Wanatoka hapo CBE kangaeHapo shetembaa Kuna kila Aina ya Malaya si mchezo aise.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Nyumbu ni wengi kwa sababu wanazaliana sana, Simba mchovu tu na yuko hatarini kupotea asipohifadhiwa vizuri
Sanaa, zunguka kwenye mashule kote nchini hadi vyuoni utashangaa sana kukuta watu wenye mashina ya kisukuma.
Tena unaweza ukastaajabu Mbeya, Rukwa, Morogoro, Singida, Dodoma, Mtwara, Iringa, Ruvuma wasukuma ni wengi kuliko wakazi asili
Taja kabila lako we kiazi
Musukuma na kashimba mkoa wenu woote hauwafikii kwa hela yani GDP ya mkoa wako haiwagusi wao na nina uhakika kikabila chako kipo wilayani na ni kidogo sana.
Ulimbukeni huu na ulofa, ndagu ni neno la kisukuma ubhebhe uligwa?
Yani mimi na usukuma wangu hamna mwanamke simkazi kutoka katika kikabila chako
Shentembaa Ile ya Kinondoni imerudi Tena ama hiini nyingine?Hapo shetembaa Kuna kila Aina ya Malaya si mchezo aise.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Yaan wahudumu Wana Hadi freelancers wao wa kwenda kukusanya order wateja. Ila hao freelancers ndo Malaya wenyewe[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Hapo shetembaa Kuna kila Aina ya Malaya si mchezo aise.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app