Baa za Dar hazijui kupiga kelele, MWANZA Kuna baa inapiga mziki unafika kata 5.

Sasa hayo maeneo asilimia kubwa si ni kama yamezungukwa na mapori kwanini mziki usisambae sehemu kubwa.
 
Mkuu umemkomesha huyo msukuma aliyejileta kiboya, umempa majibu konki harudii tena.
 
wachaga endeleeni kufanya mapenzi na watoto wenu na kufanya Kila aina ya uovu ili mpate pesa,hamna jipya
 
Kama wew ndo mweny hii elimu ,bas msukuma anahaki ya kuponda.
 
Kwa population , nyumba na heka heck zilizo dar ni ngumu huo mziki kutoboa
 
Ninazijua zote hizo mkuu, huko sio katikati ya mji ni pembeni mwa jiji.
Kwamba buzuruga, Mecco ni pemben mwa mji [emoji23][emoji23][emoji23] duh.Kwa mwanza pemben ya mji ni nyanguge huko magu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…