Sinza tumewachapa injili, sasa wamepokea wokovu, tunahamia Tabata, soon utasikia Tabata ni makanisa matupuKwa siku za karibuni Tabata imekuwa sehemu ya kula bata sana tofauti na kipindi flani ilijulikana Sinza ndio kuna mambo mengi lakini hivi sasa tabata ndio inashika namba moja. ukianzia 40 40 jirani hapo kuna smal planet tembea kidogo unakutana na kitamaa cheupe kabla hujakaa sawa unasikia Barakuda huku mziki wa the great ukikuita ile nyingine ilikuwa inaitwa kwetu pazuri sasa inajina jipya twest.
Unaweza kujiuliza hawa watu wanalala mida gani ila kikubwa usijichanganye ukaiga maisha ya watu utapotea
Tutahamia ChamaziSinza tumewachapa injili, sasa wamepokea wokovu, tunahamia Tabata, soon utasikia Tabata ni makanisa matupu
Huo ndo ukweliNext Episode ni Kigamboni
Tunasubiria Lami ipigwe kote mpaka (Mwasonga_kimbiji mwisho_buyuni)
Natabiria Kigamboni ndo itakuja ku take over
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu sikupingi hata mi naona hivo miaka ijayoNext Episode ni Kigamboni
Tunasubiria Lami ipigwe kote mpaka (Mwasonga_kimbiji mwisho_buyuni)
Natabiria Kigamboni ndo itakuja ku take over
Sent using Jamii Forums mobile app
Tutawafata tu labda mkimbilie motoniTutahamia Chamazi
Sio UTI tu. Kuna ule muwasho Fulani kwenye bomba halafu ukikamua unapata Ute Fulani mzito Kama blue band margarine.ukigonga kavu tu huko, UTI hii hapa
noma sana noma sana noma sana, chaputa oyeeeeTiba yake Sasa Ni Mara mbili ya pesa uliyotumia kula Bata. Huku ukiwa na wasiwasi wa miwaya
Hizo nongwaTutawafata tu labda mkimbilie motoni
Tatizo la CHAPUTA siku ukioa ya mkeo utakua unaiona sio Mali kitu ndio maana walio kutangulia hua wanajaribu kupita barabara ya vumbi wakidhani watabanwa Kama CHAPUTA.noma sana noma sana noma sana, chaputa oyeeee
Yes hata mm nimeliona hilo. KabisaNext Episode ni Kigamboni
Tunasubiria Lami ipigwe kote mpaka (Mwasonga_kimbiji mwisho_buyuni)
Natabiria Kigamboni ndo itakuja ku take over
Sent using Jamii Forums mobile app