Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio kazi imeanza sasaMakanisa yapo tena hiyo njia ya segerea kuanzia 40 40 upande huu bar upande kanisa 😅😅😅huku maji chumvi njia ya jeshini mwenzenu alifungiwa 😅😅😅
Yaelekea videmu vya huko vichafu sana, pia naona vingi vinatokea hapo vingungutiSio UTI tu. Kuna ule muwasho Fulani kwenye bomba halafu ukikamua unapata Ute Fulani mzito Kama blue band margarine.
Tiba yake Sasa Ni Mara mbili ya pesa uliyotumia kula Bata. Huku ukiwa na wasiwasi wa miwaya.
The giant na nolascos hapo ni hatariNext Episode ni Kigamboni
Tunasubiria Lami ipigwe kote mpaka (Mwasonga_kimbiji mwisho_buyuni)
Natabiria Kigamboni ndo itakuja ku take over
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora 40 40 the great ni baa ya wahuni wa vingunguti siwezi kaa pale40 40, great park Ni bar za washamba tu. Mtu na heshima zake hawezi kwenda great park.
Kaswende liiii😁😁Sio UTI tu. Kuna ule muwasho Fulani kwenye bomba halafu ukikamua unapata Ute Fulani mzito Kama blue band margarine.
Tiba yake Sasa Ni Mara mbili ya pesa uliyotumia kula Bata. Huku ukiwa na wasiwasi wa miwaya.
Hizo sehemu ulizozitaja ni point za wakurungwaUkitoka Twist unasogea mbele Kuna Mr Wine ilipokua kitambaa Cheupe zamani, ukisogea shell kushoto Kuna Mazembe Park usiombee mademu hapo wanakunywa Henken na Windhoek tu! Tuache hapo segerea mwisho utakutana Na kingdom wahudumu ni kama wamevaa vichupi 24/7, hapo utakutana na Ale Bush na Fantasy, endea Kinyerezi Kabla ya Round about utakutana na Big Boys na hapo ukielekea Airport Kuna Darajani 24/7 halali na haamki mtu! Tabata sio Poa nimesahau Kaites lounge Baada ya KP
Tabata kwa wala bata.Kwa siku za karibuni Tabata imekuwa sehemu ya kula bata sana tofauti na kipindi flani ilijulikana Sinza ndio kuna mambo mengi lakini hivi sasa tabata ndio inashika namba moja.
Ukianzia 40 40 jirani hapo kuna smal planet tembea kidogo unakutana na kitamaa cheupe kabla hujakaa sawa unasikia Barakuda huku mziki wa the great ukikuita ile nyingine ilikuwa inaitwa kwetu pazuri sasa inajina jipya twest.
Unaweza kujiuliza hawa watu wanalala mida gani ila kikubwa usijichanganye ukaiga maisha ya watu utapotea
Barabara ipi hiyo inayotanuliwa mkuu? Hii relini to kinyerezi au kimanga?Na Tabata barabarani inatanuliwa kama sinza
Sema uzuri nyumba za tabata nyingi wamesogea nyuma sana, hawajileta main roadKuna mradi wa upanuzi pamoja na BRT yamkini huyu MTU hajafika tabata recently
Relini- Segerea Mwisho na posibly kinyereziBarabara ipi hiyo inayotanuliwa mkuu? Hii relini to kinyerezi au kimanga?
Hehe eti vingunguti [emoji1787]...na ni karibu kweli kweliYaelekea videmu vya huko vichafu sana, pia naona vingi vinatokea hapo vingunguti
Duh itakuwa poa sana...Relini- Segerea Mwisho na posibly kinyerezi
ikipoa tu kuna chimbo litawaka na itakuwa ngumu watu kurudi tabataHuo mradi ukianza Tabata itapoa mpaka wamalize ndo mambo yaanze kuchanganya tena
G7 kifuru ipo poa Sana. Katika bar zote nzuri tabata.Bora 40 40 the great ni baa ya wahuni wa vingunguti siwezi kaa pale