Baa zenye mademu bomba Dar

Baa zenye mademu bomba Dar

watu wanashindwa kujitathmin
hapo kweli,maana kwangu nivigumu sana simjui demu na hatuna mazoea tunakutana live natoa cash kisha natimiza haja zangu.
haitokei kabisa aisee
 
Utajiumiza kichwa bure. Waache wanunuaji na wateja wao mkuu.

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
mkuu basi watu wanajuana,basi heri tusiite malaya wanauza tuseme pia malaya wananunua
 
Kwa nini uangaike na wa bar wakati wapo wanaouza miili yao rasmi? Tena hupati hata gharama ya kumnunulia bia wala chakula ni cash yako tu mtakayokubaliana.

Kama uvijui viwanja ni Jolly club, club Ambiance, Maisha club, all over kinondoni na kama unajimudu leo kuanzia saa 4 usiku njoo level 8 bar Kilimanjaro hotel.

Bia 1 sh 8000/=

Nitakuja nashtua viroba vyangu vi3 then nasuuza na kilimanjaro moja
 
nishapata majibu kwamba wao wenyewe malaya

hahaa ndo manake ...nyie mnaotaka wanawake wenu wa kutongozana kwenye baga mara pizza mtajiju...si tunafuata malaya wenzetu tunakulana kavu kwa 5000...sasa kazi kweny mnaopenda kununua ma galaxy tab mara iphone 5 ili mpewe mbunye
 
hahaa ndo manake ...nyie mnaotaka wanawake wenu wa kutongozana kwenye baga mara pizza mtajiju...si tunafuata malaya wenzetu tunakulana kavu kwa 5000...sasa kazi kweny mnaopenda kununua ma galaxy tab mara iphone 5 ili mpewe mbunye
unayempeleka ale baga halafu wako halisi ni afadhali,anakula baga na ni wangu,we unatoa 5000 kwa lisaa ila mi sitoi au hata nisipotoa anaelewa,isitoshe bado huyo wa 5000 utaanza kujishtukia hata kupima lazima presha.mnasubiriana akivua mkimaliza anamvulia mwingine after a minute
 
unayempeleka ale baga halafu wako halisi ni afadhali,anakula baga na ni wangu,we unatoa 5000 kwa lisaa ila mi sitoi au hata nisipotoa anaelewa,isitoshe bado huyo wa 5000 utaanza kujishtukia hata kupima lazima presha.mnasubiriana akivua mkimaliza anamvulia mwingine after a minute

Nani kakwambia dunia hii kuna wako halisi umemzaa wewe au unaota
 
sogea pale mkuu upate asaleee tukijaa wengine tuna pungukia o yeah pub ila akili,macho yapo italiano house

naomba siku ukija bila gari nikurudishe kwako na zai kijiwe changu cha bodaboda ni hapo o yeah! sio mbaya nikala buku yako!
 
Kwa nini uangaike na wa bar wakati wapo wanaouza miili yao rasmi? Tena hupati hata gharama ya kumnunulia bia wala chakula ni cash yako tu mtakayokubaliana.

Kama uvijui viwanja ni Jolly club, club Ambiance, Maisha club, all over kinondoni na kama unajimudu leo kuanzia saa 4 usiku njoo level 8 bar Kilimanjaro hotel.

Bia 1 sh 8000/=
hahahahaha......Level 8 mmmh Pale ni umekamata mtoto Jolly au Maisha ndio unatimba nae ...Ila ukamate mule ndani hehehe ni hatari mazee
 
Back
Top Bottom