Baa zenye mademu bomba Dar

Baa zenye mademu bomba Dar

ukiwa unatokea upande upi!? ubungo au mwenge!?
Mimesema Sam Nujoma Road ukiwa unaelekea Mwenge,anzia pale Rouns about ya Mlimani City kuangalia kushoto. Sasa kwenda Mwenge unaweza anzia Mwenge tena mkuu?
 
Kote 9 kumi "masai club ilala" du! Niachieni kademu kangu ka kimasai "linah" mwe!
 
nakemea kwa povu lasafari lager ....hebu fikirien pa kujificha ana ubish nin
aaah kumbe upo na safari ndo maana,hebu konyeza hata mhudumu bhana,...sisi chumbani yametushinda tunataka kumaliza hapa hapa kwenye carpet mpaka jasho hehehe,hebu mhudumu akuongezee bili juu yangu,

tinna cute mwaaah mwili wote
 
Kote 9 kumi "masai club ilala" du! Niachieni kademu kangu ka kimasai "linah" mwe!
Pale pazuri napakubali.
Ila kuna wakati watoto wa Ilala walikuwa wanatoleana miguu ya kuku njenje,wameacha kwa sasa mkuu?
 
Kwa nini uangaike na wa bar wakati wapo wanaouza miili yao rasmi? Tena hupati hata gharama ya kumnunulia bia wala chakula ni cash yako tu mtakayokubaliana.Kama uvijui viwanja ni Jolly club, club Ambiance, Maisha club, all over kinondoni na kama unajimudu leo kuanzia saa 4 usiku njoo level 8 bar Kilimanjaro hotel. Bia 1 sh 8000/=

Yaaani mngejuwa huku niliko afu mnanipa faraja kama hii! sijawahi cheka kama leo MUNGU wangu!

Afu ukizubaa anakuambukiza kaukimwi kwa chaaaaaaaaaaati!
 
Hahah mkuu umenikumbusha mbali concord mixer wa zambia na wa malawi kibao. Hapo nshatoka zangu Meridian pale nimebet nkala mpunga nazama zangu Concord.

haha yah right ukishakula mzigo unachukua toto
meridian now kuna KENO hela nje nje
 
Home ground Uhuru peak+Jacaranda kinondoni vijana

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
kwa hali hii bora tu tiba ya ukimwi isipatikane kabisa
 
Back
Top Bottom