Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bahati nzuri hawana Upumbavu kama uliobarikiwa nao na ambao pia Utakufa nao na utaishi nao Milele huko Udongoni ambako Utafukiwa.NASHINDWA KABISA KUELEWA MODS WA HILI JUKWAA WANAFANYA KAZI GANI KAMA MTU ANAWEZA KUANZISHA MADA NA KUTOA TUHUMA NZITO BILA HATA KUWEZA KUYATHIBITISHA NA BADO AKAACHWA TU NA TUHUMA ZAKE ZIKABAKI KUELEA HUMU.
HII INAONYESHA PICHA MBAYA SANA NA INAFANYA WATU MAKINI KUKOSA IMANI NA HILI JUKWAA.
PLEASE MODS WAKE UP AND HAVE THE AUTHOR ACCOUNT FOR HIS ALLEGATIONS OTHERWISE SLAP A DETERRENT BAN ON HIM/HER TO SAVE THE FORUM FROM LOSING CREDIBILITY IT IS RENOWNED FOR.
Nashukuru kwa uchambuzi wako,kesho kwenye mkeka namuua mtibwaUkiujua Mpira wa Bongo (Tanzania) na Janja Janja yake ni raha sana.
Pongezi sana Kocha wa Mtibwa Sugar FC Salum Mayanga kwa Kuwaanzisha Wachezaji wabovu ila baada ya Yanga SC kufunga Goli la Pili ndipo ukawaingiza Wachezaji wazuri akina Kibaya.
Hongera sana Kipa Shabaan Kado (mwana Yanga SC lia lia) na Beki Abdi Banda (mwana Simba SC ila mwenye Bifu na Simba SC kwakuwa ilikataa Kukusajili tena) kwa Kukunja Pesa za Matajiri wa Avic Town na Kusambaza kwa Wachezaji kadhaa ili mfungwe na Pengo liwe ni Alama (Points) nane (8)
Hongera nyingi sana pia kwa Kiungo Mpumbavu wa Mtibwa Sugar FC ambaye ulipewa Pasi nzuri ila kwa Makusudi yako na baada ya Muamala wako Kukamilika ukaamua Kulazimisha kutaka kumpiga Chenga Feisal Salum na Kujikosesha kwa Makusudi na akaunasa na Goli Kufungwa kisha Mechi ilipomalizika ukawa Unatabasamu hata hukuumia.
Mwisho kabisa nitoe Pongezi kwa Beki Ibrahim Ame (ambaye Jana ndiyo ulikuwa Nahodha) kwa Kitendo chako cha ulipoumia ulitakiwa Kutolewa nje aingie mwingine na ukakataa ukisema unaweza kuendelea kwani hukuumia mno ila baada ya Fiston Mayele Kufunga Goli la Pili ukaomba kutoka / Kutolewa.
Beki Abdi Banda Hela ulizopewa na Matapeli wa Avic Town ni nyingi ili tu Udanganye (Ujivunje) usicheze Mechi ya jana ( huku Mratibu Mkuu wa Kukupenyezea huo Mlungula) akiwa ni Shemeji yako (Umemuolea Dada yake) Mwanamuziki Ali Kiba (mwana Yanga SC Kindakindaki) hivyo basi nakuomba zitumie katika Kuimalizia Nyumba yako ya kule Kwetu Mkoani Tanga na zingine (Chenji ) hakikisha unamalizia Kupiga Rangi Nyumba yako ya Segerea kwani Rangi iliyoko sasa inabanduka tu na Mabati nayo yanawapigia mno Kelele Majirani kwani yamelegea yanataka Kung'oka na kwa hii Mvua Kubwa ya Dar es Salaam na huu Upepo mkali yanaweza yakaanza Safari yake ndani ya Maji ya Mto Msimbazi na ukaja Kuyaokotea Baharini usawa wa lilipo Daraja liisilo na Faida kwa Watanzania na Wana Dar es Salaam la Tanzanite.
Haya Mabeki Bandidu, Masela na Wahuni mnaoogopeka na Yanga SC akina Kelvin Yondan na Juma Nyosso (ambao mna Mechi Mbili mfululizo na Yanga SC ) ile ya Ligi (NBC) na ya FA (ASFC) nanyi jiandaeni sasa Kufuatwa Kuhongwa Mamilioni na Matapeli wa Avic Town ili ama mtafute Kadi Nyekundu ili mkose Mechi nao au mkikaribia tu Kucheza nao mjivunje (mdanganye) kuwa mnaumwa au mna Dharula (kama alivyofanya Jana Beki Mpumbavu Abdi Banda) ili msicheze na Watu Washinde ili azma yao Kuu ya kwamba kwa Msimu huu / mwaka huu iwe isiwe (kwa vyovyote na gharama yoyote ) lazima wawe Mabingwa itimie.
Namalizia kwa Kusisitiza tena kuwa ukiujua Mpira wa Tanzania (Bongo ) na Umafia wake (Janja Janja yake ) ni raha sana na wala ukisikia / ukiyasikia Matokeo fulani hupati taabu sana sana utabaki Kucheka tu na Kuusikitikia ( Kuuonea Huruma ) Mpira wa Tanzania ambao una 95% ya Rushwa ( Match Fixing ) ila TFF, BMT na TAKUKURU wananyamaza na Kuona ni Jambo lenye Afya kwa Afya ya Maendeleo ya Soka letu nchini.