Baaada yakupata mtoto mke wangu havutiwi tena na kufanya mapenzi

Sorry dogo, ila nadhan na wewe una walakini kwenye tendo heb jifanyie tathmini, hua unamuandaa vzr mkeo? Unamgonga Hadi anafika? Kwa uzoefu wangu tatizo linaweza kuwepo hapa. Kwa uzoefu wangu mwanamke akiandaliwa vzr lazma aonyeshe ushirikiano na hakikisha amefika. Sio unajijali wewe tu afu unamuachia hamu. Kama si tatzo Hilo kaa ongea Naye aseme shida ni Nini? Ukishindwa kabisa tumia vitisho, mwambie siku nikiacha kukusumbua ujue nimepata Kwa kuponea, utanilaumu ila chanzo ni wewe Au mpitishe mtaa wa madada poa mida ya uck aone namna papuchi zilizo kibao za bei Chee, kama ana akili atabadilika
 
Ukipata kihela chako watoe out at least a whole weekend mnarejea j2 mnaondoka ijumaa jioni and back on Sunday jioni kale nae bata sehemu tofauti na home,km anamapenzi kweli na ww yatarejea otherwise jitafakari maybe kuna jambo linamharibu kisaikologia ndio sbb ya yy kua hivyo
 
Kama vipi mbake tu tujue moja. Lakini hilo ni jambo la kawaida hasa kwa mwanamke ambaye ametoka kujifungua homon huwa zinabadilika pia upendo unagawanyika.huenda kwanzo alikuwa anakupenda sana sababu mlikuwa 2 lkn now anamtoto usitegemee atakupenda kama mwanzoni ,now ataweka upendo mwingi kwa mtoto wake.hata hivyo anajitahidi mvumilie
 
Mvumilie mkuu hilo ni jambo la kawaida sana hasa kwa mwanamke ambaye ametoka kujifungua
 
Mwanaume anayekupenda hawezi weka kojoleo lake ptuuuuu mdomoni kwako. period
 
Itakua ameumizwa Na wewe ndomana kapoteza hisia Kaa Nae muombe msamaha Kwa uliyomkosea mnunulie Zawadi muoneshe Upendo ukute humuoneshi mapenzi
 
Daah
 
Uko wapi .....
 
Nawee si uvunge hadi yeye atakapopata hamu ya sex.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Inachekesha..... [emoji23]
Kaa na watu wazima wanaojiolewa watakusaidia namna. Ushauri wa vijana wengi sio mzuri

Kama hujakaa vyema Kwenye kucheat, Unaweza kuropoka habari za mchepuko kwa mkeo. Unashtuka story imefika robo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa ana matatizo gani? Hivi anaye waambia mtu kutokua na hamu ya sex au ngono ni matatizo nani?

Yaan wabongo cjui mkojee, Ngono kwenu imekua ni jambo la lazima, kumbe ni hiyari na kuna maisha nje ya ngono.
Aah kumbe sio lazima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…