Mbeba Lawama
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 1,059
- 3,504
Mwamba umenigisa,mwambie huyo kimeo mchepuko hauepukiki,hawa wadudu ni pasua kichwaNdio ndoa ilivyo wahenga wanasema "Its not a bed of roses".
Kama ulifikiri kuna mtu anashikiwaga bastola kutafta mchepuko basi utajifunza hilo in the hard way😂.
Wanawake tunawaoa kwa Upendo ila madhila yao ni makubwa sana baada ya ndoa.
Nakuunga mkono sista. Kuna muda nanyimwa nnasusa naenda kulala sebulen. Nikijua itamtouch.. nkiamka nkirud chumban mwenzangu kalala anakoroma hana habariY
Yaaaaan Kuna vituu wangejuagaa hatupendi...
AfricanaUko wapi .....
Leo amekupa au bado?Africana
Tunamuomba Eva awe mwenyekiti wa kikao chetu cha wanawake. 🤝Unatakiwa kuwa makini na nguo zako ukitoka kuchepuka ili usiache alama😂 af mimi Eva huwa ana hisia kali saingine anaota kabisa ikiwa nimeanza kuhang out na sidechicks.
🤣🤣Waislam Kuna mengi sana wametuzidi uelewa, ungekua na wake kama watatu hivi, unakaa huko kwingine mpaka huyu kenge siku akili zimkae sawa
Asante mkuu..Ndio ndoa ilivyo wahenga wanasema "Its not a bed of roses".
Kama ulifikiri kuna mtu anashikiwaga bastola kutafta mchepuko basi utajifunza hilo in the hard way😂.
Wanawake tunawaoa kwa Upendo ila madhila yao ni makubwa sana baada ya ndoa.
Jibu ni ndio..
unakuwa na mchepuko na bado unaendelea kumuheshimu mkeo, bila kusahau kuijali familia yako pia.
Hapo ndoa yako itadumu na hautamchoka mkeo.
tulia tu,hiyo ni hali ya kawaida kwa wanawake waliojifungua,ongeza mapenzi na ubunifu wa kumuomba1. Baada ya kupata mtoto Hana interest na sex kabisa. Hii ni tofauti na kipindi cha uchumba.. kama niliomba mzigo mara kumi, basi nimepewa mbili. Siku akiomba yeye sijawah kataa. Na anapoomba yy ni sababu anajistukia kuwa hajanipa siku nyingi. Na nikiomba mara kadhaa sijapewa huwa nasusa siombi. So ataona aibu ndo utaona ananiambia.
2. Akinipa basi muda wa romance mimi ndo nifanye kila kitu. Hatoi ushirikiano kabisa. Haikua hivi kwenye uchumba. Hanishiki wala hanigusi. Yeye atajitanua nichezee navotaka ila sio yeye kuhangaika na mimi. Nikiingiza angalau anajitikisa as anakata. Ila kwenye romance sahau.
3. Hataki mchana so nna muda mrefu sijamuona. Labda awe anabadilisha nguo mchana.
4. Hadi nmesahau mara ya mwisho lini me kupewa ile soon baada ya kulala. Mara zote nikipewa ni usiku wa manane au asubuh ile morning glory. Lakini ile eti tumekula twende tukalale, miaka imepita. Nikiomba naambiwa aah tulale kwanza ntakuamsha usiku. Sasa hii inanikera sababu me ukiniamsha usingiz mzito kuja tena. Usingiza ntapata tena alfajiri. Afu saa 12 inabidi nitoke niende mzigoni. Nmemueleza sana hii haelewi.
4. Hataki BJ kabisa lakini zaman ilikua fresh. Na mimi napenda saana BJ.
5. Nshaongea nae sana, ila anakuelewa wiki 2. Baada ya hapo anarudi kule kule.
6. Kuna tabia fulan huwa ananikera saana. Defence mechanism. Anajua huyu jamaa sahivi atanisumbua kutaka mzigo. So anaweka mazingira kujidefend. Atakaa sebulen wee anajifanya ana watch kumbe anazuga ulale, au akija kulala analala mbali na wewe anageuka upande ambao huwe fanya kitu.
Sasa wakuu ni mimi nacomplicate mambo, au haya ni mambo ya kawaida hata kwa nyie wezangu. Matokeo ya hii tabia yake ni nashindwa kutulia na ndoa. Nnmefunga ndoa 2016
Kwa maelezo yako bro ninayekuheshimu...unataka kusema ibarikiwe michepuko?Ndio ndoa ilivyo wahenga wanasema "Its not a bed of roses".
Kama ulifikiri kuna mtu anashikiwaga bastola kutafta mchepuko basi utajifunza hilo in the hard way😂.
Wanawake tunawaoa kwa Upendo ila madhila yao ni makubwa sana baada ya ndoa.
Tatizo nyegezi haziokokagi🤣😂😂😂😂😂namshauri aokoke
Mungu ataziondoa😂Tatizo nyegezi haziokokagi🤣
Mfatilie mkeo utakuta unatombewa1. Baada ya kupata mtoto Hana interest na sex kabisa. Hii ni tofauti na kipindi cha uchumba.. kama niliomba mzigo mara kumi, basi nimepewa mbili. Siku akiomba yeye sijawah kataa. Na anapoomba yy ni sababu anajistukia kuwa hajanipa siku nyingi. Na nikiomba mara kadhaa sijapewa huwa nasusa siombi. So ataona aibu ndo utaona ananiambia.
2. Akinipa basi muda wa romance mimi ndo nifanye kila kitu. Hatoi ushirikiano kabisa. Haikua hivi kwenye uchumba. Hanishiki wala hanigusi. Yeye atajitanua nichezee navotaka ila sio yeye kuhangaika na mimi. Nikiingiza angalau anajitikisa as anakata. Ila kwenye romance sahau.
3. Hataki mchana so nna muda mrefu sijamuona. Labda awe anabadilisha nguo mchana.
4. Hadi nmesahau mara ya mwisho lini me kupewa ile soon baada ya kulala. Mara zote nikipewa ni usiku wa manane au asubuh ile morning glory. Lakini ile eti tumekula twende tukalale, miaka imepita. Nikiomba naambiwa aah tulale kwanza ntakuamsha usiku. Sasa hii inanikera sababu me ukiniamsha usingiz mzito kuja tena. Usingiza ntapata tena alfajiri. Afu saa 12 inabidi nitoke niende mzigoni. Nmemueleza sana hii haelewi.
4. Hataki BJ kabisa lakini zaman ilikua fresh. Na mimi napenda saana BJ.
5. Nshaongea nae sana, ila anakuelewa wiki 2. Baada ya hapo anarudi kule kule.
6. Kuna tabia fulan huwa ananikera saana. Defence mechanism. Anajua huyu jamaa sahivi atanisumbua kutaka mzigo. So anaweka mazingira kujidefend. Atakaa sebulen wee anajifanya ana watch kumbe anazuga ulale, au akija kulala analala mbali na wewe anageuka upande ambao huwe fanya kitu.
Sasa wakuu ni mimi nacomplicate mambo, au haya ni mambo ya kawaida hata kwa nyie wezangu. Matokeo ya hii tabia yake ni nashindwa kutulia na ndoa. Nnmefunga ndoa 2016
Aliziweķa yeye tuzifurahie😂Mungu ataziondoa😂
Amepoteza hamu ya tendo baada ya kujifungua, na ameielekeza akili yake kwenye kulea, hali unayoipigia naijua, cha kukushauri, mkaushie kama miez miwili bila kumuuliza au kuonyesha dalili ya kuhitaji, kuwa bize na mambo yako huku ukitimiza majukumu yako, usijitilishe huruma yaani kama kwamba usipopewa mzigo utakufa au mambo fulani hautafanikiwa, ukiweza hapo utaona anaiomba mwenyewe. Ila usije ukasema unaenda kutafuta nje, utaipoteza ndoa yako1. Baada ya kupata mtoto Hana interest na sex kabisa. Hii ni tofauti na kipindi cha uchumba.. kama niliomba mzigo mara kumi, basi nimepewa mbili. Siku akiomba yeye sijawah kataa. Na anapoomba yy ni sababu anajistukia kuwa hajanipa siku nyingi. Na nikiomba mara kadhaa sijapewa huwa nasusa siombi. So ataona aibu ndo utaona ananiambia.
2. Akinipa basi muda wa romance mimi ndo nifanye kila kitu. Hatoi ushirikiano kabisa. Haikua hivi kwenye uchumba. Hanishiki wala hanigusi. Yeye atajitanua nichezee navotaka ila sio yeye kuhangaika na mimi. Nikiingiza angalau anajitikisa as anakata. Ila kwenye romance sahau.
3. Hataki mchana so nna muda mrefu sijamuona. Labda awe anabadilisha nguo mchana.
4. Hadi nmesahau mara ya mwisho lini me kupewa ile soon baada ya kulala. Mara zote nikipewa ni usiku wa manane au asubuh ile morning glory. Lakini ile eti tumekula twende tukalale, miaka imepita. Nikiomba naambiwa aah tulale kwanza ntakuamsha usiku. Sasa hii inanikera sababu me ukiniamsha usingiz mzito kuja tena. Usingiza ntapata tena alfajiri. Afu saa 12 inabidi nitoke niende mzigoni. Nmemueleza sana hii haelewi.
4. Hataki BJ kabisa lakini zaman ilikua fresh. Na mimi napenda saana BJ.
5. Nshaongea nae sana, ila anakuelewa wiki 2. Baada ya hapo anarudi kule kule.
6. Kuna tabia fulan huwa ananikera saana. Defence mechanism. Anajua huyu jamaa sahivi atanisumbua kutaka mzigo. So anaweka mazingira kujidefend. Atakaa sebulen wee anajifanya ana watch kumbe anazuga ulale, au akija kulala analala mbali na wewe anageuka upande ambao huwe fanya kitu.
Sasa wakuu ni mimi nacomplicate mambo, au haya ni mambo ya kawaida hata kwa nyie wezangu. Matokeo ya hii tabia yake ni nashindwa kutulia na ndoa. Nnmefunga ndoa 2016