Baaada yakupata mtoto mke wangu havutiwi tena na kufanya mapenzi

Baaada yakupata mtoto mke wangu havutiwi tena na kufanya mapenzi

Ndio ndoa ilivyo wahenga wanasema "Its not a bed of roses".

Kama ulifikiri kuna mtu anashikiwaga bastola kutafta mchepuko basi utajifunza hilo in the hard way😂.

Wanawake tunawaoa kwa Upendo ila madhila yao ni makubwa sana baada ya ndoa.
Mwamba umenigisa,mwambie huyo kimeo mchepuko hauepukiki,hawa wadudu ni pasua kichwa
 
Ndio ndoa ilivyo wahenga wanasema "Its not a bed of roses".

Kama ulifikiri kuna mtu anashikiwaga bastola kutafta mchepuko basi utajifunza hilo in the hard way😂.

Wanawake tunawaoa kwa Upendo ila madhila yao ni makubwa sana baada ya ndoa.
Asante mkuu..
Huyu njemba atafute mchepuko, tena bila woga!

Ndoa siyo mchezo mchezo aise..
 
1. Baada ya kupata mtoto Hana interest na sex kabisa. Hii ni tofauti na kipindi cha uchumba.. kama niliomba mzigo mara kumi, basi nimepewa mbili. Siku akiomba yeye sijawah kataa. Na anapoomba yy ni sababu anajistukia kuwa hajanipa siku nyingi. Na nikiomba mara kadhaa sijapewa huwa nasusa siombi. So ataona aibu ndo utaona ananiambia.

2. Akinipa basi muda wa romance mimi ndo nifanye kila kitu. Hatoi ushirikiano kabisa. Haikua hivi kwenye uchumba. Hanishiki wala hanigusi. Yeye atajitanua nichezee navotaka ila sio yeye kuhangaika na mimi. Nikiingiza angalau anajitikisa as anakata. Ila kwenye romance sahau.

3. Hataki mchana so nna muda mrefu sijamuona. Labda awe anabadilisha nguo mchana.

4. Hadi nmesahau mara ya mwisho lini me kupewa ile soon baada ya kulala. Mara zote nikipewa ni usiku wa manane au asubuh ile morning glory. Lakini ile eti tumekula twende tukalale, miaka imepita. Nikiomba naambiwa aah tulale kwanza ntakuamsha usiku. Sasa hii inanikera sababu me ukiniamsha usingiz mzito kuja tena. Usingiza ntapata tena alfajiri. Afu saa 12 inabidi nitoke niende mzigoni. Nmemueleza sana hii haelewi.

4. Hataki BJ kabisa lakini zaman ilikua fresh. Na mimi napenda saana BJ.

5. Nshaongea nae sana, ila anakuelewa wiki 2. Baada ya hapo anarudi kule kule.

6. Kuna tabia fulan huwa ananikera saana. Defence mechanism. Anajua huyu jamaa sahivi atanisumbua kutaka mzigo. So anaweka mazingira kujidefend. Atakaa sebulen wee anajifanya ana watch kumbe anazuga ulale, au akija kulala analala mbali na wewe anageuka upande ambao huwe fanya kitu.

Sasa wakuu ni mimi nacomplicate mambo, au haya ni mambo ya kawaida hata kwa nyie wezangu. Matokeo ya hii tabia yake ni nashindwa kutulia na ndoa. Nnmefunga ndoa 2016
tulia tu,hiyo ni hali ya kawaida kwa wanawake waliojifungua,ongeza mapenzi na ubunifu wa kumuomba
 
Ndio ndoa ilivyo wahenga wanasema "Its not a bed of roses".

Kama ulifikiri kuna mtu anashikiwaga bastola kutafta mchepuko basi utajifunza hilo in the hard way😂.

Wanawake tunawaoa kwa Upendo ila madhila yao ni makubwa sana baada ya ndoa.
Kwa maelezo yako bro ninayekuheshimu...unataka kusema ibarikiwe michepuko?
🤣🤣
 
Kipindi mdgo nilikuwa naoja haya mambo naona kama ni uzushi lkn nilipooa nikajionea bro sio wewe tu wanaume wengi wakamia show hyo hali inatukumba ukishapata mtoto basi shida ndo inapoanzia yan najua uzi huu wanaume wengi wanausoma huku wakihisi ni kama wameandika wao

Kuliko kuanza masuala ya michepuko nafkiri mke mmoja anajisahau sana kwa sababu ana uhakika wa namba lkn wakiwa wawili shda hzo zinapungua wanapambania namba

Wanawake wapo hvyo hawana hulka sana ya sex baada ya mda fulani kwenye ndoa na usiombe akawa ana kazi yake ndo balaa wazee wetu waliona mbali kuwa na wake wengi sema maisha ya saiv magumu ukisema michepuko inahtaj hela ndefu kuihudumia lkn pia kuhudumia ndoa mbili nako sio mchezo
 
1. Baada ya kupata mtoto Hana interest na sex kabisa. Hii ni tofauti na kipindi cha uchumba.. kama niliomba mzigo mara kumi, basi nimepewa mbili. Siku akiomba yeye sijawah kataa. Na anapoomba yy ni sababu anajistukia kuwa hajanipa siku nyingi. Na nikiomba mara kadhaa sijapewa huwa nasusa siombi. So ataona aibu ndo utaona ananiambia.

2. Akinipa basi muda wa romance mimi ndo nifanye kila kitu. Hatoi ushirikiano kabisa. Haikua hivi kwenye uchumba. Hanishiki wala hanigusi. Yeye atajitanua nichezee navotaka ila sio yeye kuhangaika na mimi. Nikiingiza angalau anajitikisa as anakata. Ila kwenye romance sahau.

3. Hataki mchana so nna muda mrefu sijamuona. Labda awe anabadilisha nguo mchana.

4. Hadi nmesahau mara ya mwisho lini me kupewa ile soon baada ya kulala. Mara zote nikipewa ni usiku wa manane au asubuh ile morning glory. Lakini ile eti tumekula twende tukalale, miaka imepita. Nikiomba naambiwa aah tulale kwanza ntakuamsha usiku. Sasa hii inanikera sababu me ukiniamsha usingiz mzito kuja tena. Usingiza ntapata tena alfajiri. Afu saa 12 inabidi nitoke niende mzigoni. Nmemueleza sana hii haelewi.

4. Hataki BJ kabisa lakini zaman ilikua fresh. Na mimi napenda saana BJ.

5. Nshaongea nae sana, ila anakuelewa wiki 2. Baada ya hapo anarudi kule kule.

6. Kuna tabia fulan huwa ananikera saana. Defence mechanism. Anajua huyu jamaa sahivi atanisumbua kutaka mzigo. So anaweka mazingira kujidefend. Atakaa sebulen wee anajifanya ana watch kumbe anazuga ulale, au akija kulala analala mbali na wewe anageuka upande ambao huwe fanya kitu.

Sasa wakuu ni mimi nacomplicate mambo, au haya ni mambo ya kawaida hata kwa nyie wezangu. Matokeo ya hii tabia yake ni nashindwa kutulia na ndoa. Nnmefunga ndoa 2016
Mfatilie mkeo utakuta unatombewa
 
1. Baada ya kupata mtoto Hana interest na sex kabisa. Hii ni tofauti na kipindi cha uchumba.. kama niliomba mzigo mara kumi, basi nimepewa mbili. Siku akiomba yeye sijawah kataa. Na anapoomba yy ni sababu anajistukia kuwa hajanipa siku nyingi. Na nikiomba mara kadhaa sijapewa huwa nasusa siombi. So ataona aibu ndo utaona ananiambia.

2. Akinipa basi muda wa romance mimi ndo nifanye kila kitu. Hatoi ushirikiano kabisa. Haikua hivi kwenye uchumba. Hanishiki wala hanigusi. Yeye atajitanua nichezee navotaka ila sio yeye kuhangaika na mimi. Nikiingiza angalau anajitikisa as anakata. Ila kwenye romance sahau.

3. Hataki mchana so nna muda mrefu sijamuona. Labda awe anabadilisha nguo mchana.

4. Hadi nmesahau mara ya mwisho lini me kupewa ile soon baada ya kulala. Mara zote nikipewa ni usiku wa manane au asubuh ile morning glory. Lakini ile eti tumekula twende tukalale, miaka imepita. Nikiomba naambiwa aah tulale kwanza ntakuamsha usiku. Sasa hii inanikera sababu me ukiniamsha usingiz mzito kuja tena. Usingiza ntapata tena alfajiri. Afu saa 12 inabidi nitoke niende mzigoni. Nmemueleza sana hii haelewi.

4. Hataki BJ kabisa lakini zaman ilikua fresh. Na mimi napenda saana BJ.

5. Nshaongea nae sana, ila anakuelewa wiki 2. Baada ya hapo anarudi kule kule.

6. Kuna tabia fulan huwa ananikera saana. Defence mechanism. Anajua huyu jamaa sahivi atanisumbua kutaka mzigo. So anaweka mazingira kujidefend. Atakaa sebulen wee anajifanya ana watch kumbe anazuga ulale, au akija kulala analala mbali na wewe anageuka upande ambao huwe fanya kitu.

Sasa wakuu ni mimi nacomplicate mambo, au haya ni mambo ya kawaida hata kwa nyie wezangu. Matokeo ya hii tabia yake ni nashindwa kutulia na ndoa. Nnmefunga ndoa 2016
Amepoteza hamu ya tendo baada ya kujifungua, na ameielekeza akili yake kwenye kulea, hali unayoipigia naijua, cha kukushauri, mkaushie kama miez miwili bila kumuuliza au kuonyesha dalili ya kuhitaji, kuwa bize na mambo yako huku ukitimiza majukumu yako, usijitilishe huruma yaani kama kwamba usipopewa mzigo utakufa au mambo fulani hautafanikiwa, ukiweza hapo utaona anaiomba mwenyewe. Ila usije ukasema unaenda kutafuta nje, utaipoteza ndoa yako
 
Back
Top Bottom