Daudi1 JF-Expert Member Joined Dec 14, 2013 Posts 12,444 Reaction score 18,741 Sep 26, 2024 #141 green rajab said: Mfatilie mkeo utakuta unatombewa Click to expand... hapana, tusielekeze akili huko, ni mwanamke amepoteza hamu ya tendo baada ya kujifungua mbona hiyo kawaida
green rajab said: Mfatilie mkeo utakuta unatombewa Click to expand... hapana, tusielekeze akili huko, ni mwanamke amepoteza hamu ya tendo baada ya kujifungua mbona hiyo kawaida
Extrovert JF-Expert Member Joined Feb 29, 2016 Posts 70,785 Reaction score 186,690 Sep 26, 2024 #142 Glenn said: Kwa maelezo yako bro ninayekuheshimu...unataka kusema ibarikiwe michepuko? 🤣🤣 Click to expand... Hakuna kitu ambacho hakina faida duniani hata ambavyo vinaonekana ni vibaya ila kuna namna vinaweza kuwa na manufaa vikipatiwa matumizi mengine. Michepuko itabaki kuwa sehemu ya vitu ambavyo vina faida sana kwa wanaume🤣 hasa waliooa.
Glenn said: Kwa maelezo yako bro ninayekuheshimu...unataka kusema ibarikiwe michepuko? 🤣🤣 Click to expand... Hakuna kitu ambacho hakina faida duniani hata ambavyo vinaonekana ni vibaya ila kuna namna vinaweza kuwa na manufaa vikipatiwa matumizi mengine. Michepuko itabaki kuwa sehemu ya vitu ambavyo vina faida sana kwa wanaume🤣 hasa waliooa.
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 67,252 Reaction score 168,563 Sep 26, 2024 #143 Kwamba upendo wote kahamishia kwa mtoto???? Ni suala la muda tu atarudisha upendo Cc Smart911