Baaada yakupata mtoto mke wangu havutiwi tena na kufanya mapenzi

Kwa maelezo yako bro ninayekuheshimu...unataka kusema ibarikiwe michepuko?
🤣🤣
Hakuna kitu ambacho hakina faida duniani hata ambavyo vinaonekana ni vibaya ila kuna namna vinaweza kuwa na manufaa vikipatiwa matumizi mengine.

Michepuko itabaki kuwa sehemu ya vitu ambavyo vina faida sana kwa wanaume🤣 hasa waliooa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…