Sayyid Khalifa
Senior Member
- Jun 8, 2018
- 113
- 217
- Thread starter
- #21
Apo unajiongeza mwenyewe tu mwana,sio kila kitu unafuniwe.Soma hii aya yako vizuri
Point yako imeijenga kwa dhana kwamba ni lazima mbowe awepo either ikulu au bungeni haujasema nini hasa faida za kiongozi atakaeshika nafasi ya pili katika kura za uraisi kuwepo uko bungeni bila kujali atakua mbowe au mwingine yoyote