Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Watu wanasoma ili wapande vyeo na akistaafu/kufariki mafao yawe manono lakini kichwani bure kabisa.ππππππKusoma na ku apply ulicho kisoma in real life, ni vitu viwil tofauti.
that's why if u tell someone tht Jamaa ana Phd, Ni kazi kukuamini.
Kama atatokea avae pampasi mapema kuokaoa muda wa mahakama.Kuna uwezekano kwa 99% Sirro asitokee mahakamani, ili kukwepa kuaibika.
Kwa jinsi mwenzake alivyopelekeshwa jana, Sirro huenda akaachia Samadi mbichi pale mahakamani.
Shule na Maisha ya mtaani ni mazingira tofauti yanayo hitaji skillset tofauti. Watu wana kimbiza sana shule ila kitaa 0Sirro kuanzia olevel hadi advance alikuwa anawaburuza watu kile ni kichwa hatari angeamua kuingia kwenye siasa angekua mtu mkubwa sana
Exactly hao ndy wengi kwenye maofisi ya serikaliWatu wanasoma ili wapande vyeo na akistaafu/kufariki mafao yawe manono lakini kichwani bure kabisa.[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Sorry hana phd.Sirro anahold phd ya sheria udsm
Sirro kwa mantiki atakuwa upande wa Mbowe,ataulizwa maswali Kwanza na AK na Kibatala kwa maana ya examination in Chief,akiwageuka hostile.Kama asipo badilika Cross b examination Kama ya akina b Kibatala itabidi afanyiwe na mawakili wa jamuhuri.Je Sirro atabaki upande wa Mbowe na wenzake ama atatoa ushahidi dhidi yao? TusubiriJana 15/9/2021, Tulishuhudia ACP Ramadhan Kingai akitoa ushahidi mahakani juu ya kesi ya kigaidi inayomkabili Mbowe na wenzake, Tuliona namna alivyowashiwa Moto wa mahojiano na mawakili wa utetezi kiasi kwamba akaanza kujichanganya na kupelekea watu hapa jukwaani kuhoji CV yake!
Ikumbukwe kuwa, wakili msomi, Peter Kibatala, aliiomba mahakama kuwa IGP Sirro awe shahidi upande wa utetezi na ijumaa alitajwa rasmi kuwa mmoja Kati ya mashahidi upande wa utetezi!!
Tutegemee Nini kutoka kwa IGP Sirro??
Atahimili na kustahimili joto la kizimba, au naye atajichanganya??
Sasa kwa akili nyepesi za watu kama hao,hawawezi kuamuru askari wenzake wafyatue risasi kuua akina "Akwilina" kweli?Exactly hao ndy wengi kwenye maofisi ya serikali
Sirro awe na phd ya Law? Serious!Sirro anahold phd ya sheria udsm
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sirro ataomba udhuru yule Kingai alilala na viatu...
Simple kabisa aisee harafu DPP anawafutia mashitaka,ila Meko aliumiza watu wengi sanaSasa kwa akili nyepesi za watu kama hao,hawawezi kuamuru askari wenzake wafyatue risasi kuua akina "Akwilina" kweli?
Ana degree ya education, masters ya sheria.Sirro anahold phd ya sheria udsm
Haisaidii kitu mbele ya ukweliSirro anahold phd ya sheria udsm
Umri umeenda na aache kuambatana na siasa ili kuwafurahisha mabosi wake.Atarudi Pida kulima "maharagwe"!πππππSirro huwa namuonea huruma sana huyu afande..jamaa ni intelligent sana,ni kamanda mmoja mpambanaji na mwenye bidii sana tangu jeshi la police..but siasa ndio inamyumbisha huyu.
Unamaanisha nini unaposema tangu jeshi la polisi??Sirro huwa namuonea huruma sana huyu afande..jamaa ni intelligent sana,ni kamanda mmoja mpambanaji na mwenye bidii sana tangu jeshi la police..but siasa ndio inamyumbisha huyu.
Afadhali imepanda mapema, imagine ingepanda wakati anatoa ushahidi mahamani si ingeleta taharuki mahamani!
Kutetea dhuluma hakika haijawahi kuwa rahisi hata siku mojaHiyo siku Sirro hatapata usingizi amini nawaambieni.
aisee hata kama nalipwa siwezi kufedheheshwa kiasi kile....Jana 15/9/2021, Tulishuhudia ACP Ramadhan Kingai akitoa ushahidi mahakani juu ya kesi ya kigaidi inayomkabili Mbowe na wenzake, Tuliona namna alivyowashiwa Moto wa mahojiano na mawakili wa utetezi kiasi kwamba akaanza kujichanganya na kupelekea watu hapa jukwaani kuhoji CV yake!
Ikumbukwe kuwa, wakili msomi, Peter Kibatala, aliiomba mahakama kuwa IGP Sirro awe shahidi upande wa utetezi na ijumaa alitajwa rasmi kuwa mmoja Kati ya mashahidi upande wa utetezi!
Tutegemee nini kutoka kwa IGP Sirro?
Atahimili na kustahimili joto la kizimba, au naye atajichanganya?