Sirro ni kukaza mzuri sanaJana 15/9/2021, Tulishuhudia ACP Ramadhan Kingai akitoa ushahidi mahakani juu ya kesi ya kigaidi inayomkabili Mbowe na wenzake, Tuliona namna alivyowashiwa Moto wa mahojiano na mawakili wa utetezi kiasi kwamba akaanza kujichanganya na kupelekea watu hapa jukwaani kuhoji CV yake!
Ikumbukwe kuwa, wakili msomi, Peter Kibatala, aliiomba mahakama kuwa IGP Sirro awe shahidi upande wa utetezi na ijumaa alitajwa rasmi kuwa mmoja Kati ya mashahidi upande wa utetezi!
Tutegemee nini kutoka kwa IGP Sirro?
Atahimili na kustahimili joto la kizimba, au naye atajichanganya
And for sure hatakujaKuna uwezekano kwa 99% Sirro asitokee mahakamani, ili kukwepa kuaibika.
Kwa jinsi mwenzake alivyopelekeshwa jana, Sirro huenda akaachia Samadi mbichi pale mahakamani.
Siasa gani inayohitaji 'kichwa' kuwa mtu mkubwa?
Tunajua sifa za kujiunga na jeshi la polisi, na sababu za wengi kuingia huko…. hakuna mtu 'anayewaburuza' darasani akakimbilia jeshini.
Mahakama ikikuita bro huna namna , utaenda tuSirro ataomba udhuru yule Kingai alilala na viatu...
Mkemia Mkuu Alithibitisha ni heroin au ulikuwa ni ugolo?![emoji23][emoji23][emoji23]Na je hayo madawa yapo wapi? [emoji23].
Tangu lini mkuu?Unamaana anaitwa Dr.Sirro ,acha utaniSirro anahold phd ya sheria udsm
Weeeeeee!Humjui hata kidogo amesoma na Baba yangu mdogo Kilaza tu !Degree zenyewe amesoma akiwa kazini.Tangu lini PT watanzania wakawa na akili darasani,Tena enzi zao walikuwa wanachukua waliofeli tu.Sirro kuanzia olevel hadi advance alikuwa anawaburuza watu kile ni kichwa hatari angeamua kuingia kwenye siasa angekua mtu mkubwa sana
Siyo Jeshi la polisi!!!Lakini pia siyo Jeshi la enzi hizo.Kwa sababu ya ukosefu wa ajira ni kweli Kwa Sasa kuna Polisi wasomi wazuri.Lakini za kina IGP Polisi waliingia wakiwa vihiyo.Hata huyo unaye mtetea aliingia akiwa na kidato cha sita Wala hakuwa na degreeKuna watu wengi wameingia jeshini ni vipanga darasani na matokeo yao yalikuwa mazuri wengine ni hob
Acha story zako angekuwa kichwa asingekuwa police.Sirro kuanzia olevel hadi advance alikuwa anawaburuza watu kile ni kichwa hatari angeamua kuingia kwenye siasa angekua mtu mkubwa sana
Lakini siyo PhDSiro ana shule ya sheria udsm
Na alithibitisha vipi kuwa ni Heroine pale pale eneo la tukio kabla ya kupelekwa sample kwa mkemia mkuu wa Serikali?Na je hayo madawa yapo wapi? [emoji23].
Sirro atatoroka atajifanya ana ziara ya kikazi Rwanda.
Kweli kabisa ulichosema[emoji39][emoji39]Kusoma na ku apply ulicho kisoma in real life, ni vitu viwil tofauti...
that's why if u tell someone tht Jamaa ana Phd, Ni kazi kukuamini.