Baada ya ajali ya MV Nyerere kuua watu wengi, mila ya kutakasana yashika kasi Ukerewe

Baada ya ajali ya MV Nyerere kuua watu wengi, mila ya kutakasana yashika kasi Ukerewe

Kennedy

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2011
Posts
54,894
Reaction score
64,043
Tukiwa bado na majonzi ya kuondokewa na wapendwa, ndugu,jamaa na marafiki kwenye ajali mbaya ambayo iliangamiza nguvu kazi kubwa ya taifa.

Huko wilayani Ukerewe mkoa wa Mwanza,sasa hivi kubwa linaloendelea kwa mila na tamaduni za wakara kwa tukio lile ni "Kutakasana " maana yake kuondoa mkosi wa ajali iliyotokea hasa hasa kwa waliofiwa na mke ama mume

Leo asubuhi kwenye taarifa iliyotolewa na BBC swahili radio wananchi baadhi waliofiwawanafanya mila hiyo kwa kasi kuepuka mkosi wa ajali mbaya usitokee tena huko ukara

Jamaa mmoja kafiwa na mke akatafutiwa mwanamke aliyefiwa na mume wakatasana
 
Tukiwa bado na majonzi ya kuondokewa na wapendwa, ndugu,jamaa na marafiki kwenye ajali mbaya ambayo iliangamiza nguvu kazi kubwa ya taifa.

Huko wilayani Ukerewe mkoa wa Mwanza,sasa hivi kubwa linaloendelea kwa mila na tamaduni za wakara kwa tukio lile ni "Kutakasana " maana yake kuondoa mkosi wa ajali iliyotokea hasa hasa kwa waliofiwa na mke ama mume

Leo asubuhi kwenye taarifa iliyotolewa na BBC swahili radio wananchi baadhi waliofiwawanafanya mila hiyo kwa kasi kuepuka mkosi wa ajali mbaya usitokee tena huko ukara

Jamaa mmoja kafiwa na mke akatafutiwa mwanamke aliyefiwa na mume wakatasana
Wenyewe wanaita "Okusomboka".
 
Ha ha ha! Ni mila ya kishenzi sana!
Kuna nyingine mbaya zaidi ya kubaka kwa kutumia uchawi, inaitwa "lusindiko".
Mkuu
Kwahiyo Hiyo Ya Kubaka Unakwenda Kumwaga Uno Bila Kujulikana Ama Ikoje
 
Back
Top Bottom