Baada ya ajali ya MV Nyerere kuua watu wengi, mila ya kutakasana yashika kasi Ukerewe

Ha ha ha! Ni mila ya kishenzi sana!
Kuna nyingine mbaya zaidi ya kubaka kwa kutumia uchawi, inaitwa "lusindiko".
Ukerewe Safi πŸ˜€πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜…πŸ˜„πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Hizi mila ni mbaya sana....hata Namibia hizo tabia za kumtakasa mjane au magane zipo sana. Lakini ni mila potofu na upumbavu
 
Wenyewe wanaita kitendo hicho "Okusomboka".
 
Mtakasaji anaitwa - "Omwesya"
Yaani Mtu anayefanya kitu kiwe kipya, au kiwe safi.

Ni mila ya ajabu kabisa na inachangia kueneza UKIMWI!
 
Tukiwa bado na majonzi ya kuondokewa na wapendwa, ndugu,jamaa na marafiki kwenye ajali mbaya ambayo iliangamiza nguvu kazi kubwa ya taifa.

Huko wilayani Ukerewe mkoa wa ...a mume wakatasana
Wanazingatia kanuni za afya au kikavu?
 
Mtakasaji anaitwa - "Omwesya"
Yaani Mtu anayefanya kitu kiwe kipya, au kiwe safi.

Ni mila ya ajabu kabisa na inachangia kueneza UKIMWI!
πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜…πŸ˜†πŸ˜ƒπŸ˜‚πŸ˜πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜„
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…