Kheri Hansen
JF-Expert Member
- Jan 20, 2018
- 1,025
- 1,238
kweli mfa maji hutapa tapa...kwahyo kaona Coca Cola sio wadhamini na wanachokifanya bado ni zero..yeye ndo anastahili na ana uwezo huo? Kiba apimwe akili, au muombeeni msamaha kwa Diamond ili diamond aendelee na ugomvi feki unampa mkate kiba hapa mjini