Kheri Hansen
JF-Expert Member
- Jan 20, 2018
- 1,025
- 1,238
Wadhamini wakuu wa MATANGAZO ya FIFA world cup hapo TBC ni hawa MOFAYA,DAWA TATU ,RUNGU na si wadhamini wa FIFA WORLD CUP AT RUSSIA (Msichanganye vitu hapo).Huyu jamaa kachanganya sio kosa lake lkn bora ulivyomwelewesha na TBC matangazo anachukua kutoka KWESE TV ya GHANA.Official Sponsors and Partners of FIFA World 2018
Let’s check out the full list of Sponsors and Partners for Russia World Cup 2018 below.
Budweiser
Hisense
Mcdonalds
Vivo
Along with the above list, there are few other sponsors like: –
Adidas
Coca-Cola
Wanda Group
Gazprom
Hyundai
Kia Motors
Qatar Airways
VISA
Simu tupu hapo.....Ajiandae na na fitina ktk industry ya vinywaji huko wapinzani wake ni Azam,Mo ,Kung fu etc na kama hujui Azam nae katoa energy drink ambayo ina package kama ya Mofaya (hizo ni fitina zenyewe) ,bado hapa kwenye bei Azam ni bidhaa inayotengenezwa TZ kwa hiyo bei yake itakuwa ndogo.Ila ajitahidi kuweka reasonable price ambayo kila mtu atahistamili kwa SA ni Rand 10 (Tsh 1800+).Pili zile tabia kwamba hoo mimi sina show off,BIASAHARA YOYOTE MWENZAKE NI SHOW OFF,lazima aitangaze haswa hizi tabia haupo active ktk social network nyimbo zenyewe anatowa moja moja ,zinaweza zikaathiri bidhaa zake sokoni.Manake uchambuzi wako unalenga upinzani kimziki na si biashara yake ya vinywaji.
View attachment 779414
View attachment 779415
Kiba alikwepo maarufu tangu huyo domo wenu yupo madale huko...Badala mumshauri akanunue dagaa pale katonga awe anapeleka kasulu mnazidi kumpamba na kumpampu tu ashindane na waliomzidi.
Shauri zenu na zake! huyo sasa anaangukia pua.
Levo za kibakuli ni kina dogo janja na best naso😛
Haka kabifu ndio kanamuweka kiba njini,,,,,,, sasa Mond ameshtuka hampi tena kick!
Huo mkate kiba alikuwa nao hata kipindi hicho wewe humjui huyo domo wenukweli mfa maji hutapa tapa...kwahyo kaona Coca Cola sio wadhamini na wanachokifanya bado ni zero..yeye ndo anastahili na ana uwezo huo? Kiba apimwe akili, au muombeeni msamaha kwa Diamond ili diamond aendelee na ugomvi feki unampa mkate kiba hapa mjini
Poleni sana mashabiki wa kibakuli [emoji3]Kiba alikwepo maarufu tangu huyo domo wenu yupo madale huko...