Baada ya Andiko kabambe la Askofu Mwamakula, Walioituhumu Chadema kuhusika na Wabunge wa Covid 19 waombe radhi haraka

Baada ya Andiko kabambe la Askofu Mwamakula, Walioituhumu Chadema kuhusika na Wabunge wa Covid 19 waombe radhi haraka

YAANI UKIMWAMINI HUYO ANAYEJIITA ASKOFU UCHWARA ANAYOYASEMA UJUE TAYARI NI KIPIMO KUWA UMESHAKUWA NA TATIZO LA AFYA YA AKILI HUYU ANATUNGA TU MANENO ILI APATE KUSIKIKA NAYE KAONGEA SASA JPM KWELI AMFUATE KIBAKA KAMA HUYU AMUAMBIE IU KAMA HICHO? NI KICHEKESHO CHA MWAKA HUYU MZEE TANGU ALIVYOINGIZWA MAHABUSU WAKALAMBA TIGO AKILI YAKE ISHAKUWA NA MAFUTA YA TAA KWAHIYO HATA WEWE UNAYEAMINI MANENO YAKE TAYARI NA MATATIZO YA AKILI

Kuna uongo mwingi sana kwenye utawala .

Lakini pia tawala zote za kidunia zina magenge ya wahuni wanafaidika na tawala hizo kifisadi na hizo hua zimejaa wauaji .
Hata awamu hii wapo tena ni hatari kuliko awamu ya Tano .Awamu hii ina watu wenye viashiria vya Udini na kutafsiri kila jambo kwa misingi ya Udini . Hali hii ilikuwepo hata awamu ya pili ,wakatokea magaidi wa mwembe Chai wakaisumbua sana serikali iliyokuwa inaongozwa na Alhaji Shehe Mwinyi , Ugaidi ukaribu tena awamu ya tatu kula Zenji kwa kiwango cha kuchoma mpaka makanisa , Watu wakawa wanauawa mchana kweupe na kumwagiwa tindikali.
Ikaja awamu ya Nne hali ikawa tete wakatokea WATU waliojiita uamsho kule Zanzibar ,Ugaidi ukahamia maeneo ya mikoa ya Pwani ikiwemo Tanga na Pwani . Ulimboka alitekwa na kufanyiwa jaribio la kuuawa .Waliompiga na kung'oa kucha wakawa wanajulikana . Vituo vya polisi vikawa vinachomwa moto ujambazi wa kutisha ,
Awamu ya Tano hali ikawa hivyo hivyo kuteka WATU ,kupotea watu,ugaidi ukaibuka upya kule Kibiti kwenye jimbo la Yule Waziri mwenye nchi hii kama mali yake binafsi . ,

Mabaya yote hayo yanatokana na Magenge yanayopambania watawala ili wapate fedha nyingi zinazokaa kwenye mifuko ya watawala bila kujali umaskini na uchumi wa nchi ukoje .

Kumsema JPM pekee miongoni mwa watawala wengi wa duniani hii ni kujaribu kudanganya umma kuwa kuna wa atawala wasio na mapungufu .

Wa atawala wote mapungufu yao ni kulinda viti vyao kwa gharama yoyote bila kujali hasara ya kifedha .
Walisema WATU wamota mapembe . Na baada ya tamko lile watu wakashindana kukata mapembe ya watu ili kumfurahisha mwenye nchi .
 
Tumeandika humu JF kwa miaka mingi kwamba kwa namna yoyote ile Chadema haikuwahi kuteua Wabunge wa Viti Maalum baada ya Uchaguzi wa 2020, tulifafanua kisomi kwamba Chadema haikuwa na uwezo wa kwenda Gerezani usiku wa manane kumtoa Mfungwa Nusrst Hanje na kumpeleka Bungeni kuapishwa ili awe mbunge wa viti maalum, Watu wajinga walitupinga na kututukana matusi ya nguoni huku lengo lao likiwa kuchafua Chadema, (Hata hivyo hawakufanikiwa).

Sasa Andiko hili la Askofu Mwamakula limewavua nguo na kuwaacha watupu wale wote waliohusisha Uchafu ule wa serikali ya awamu ya 5 wakishirikiana na Baraza lote la Mawaziri pamoja na Spika Ndugai na Tulia Ackson.

Huyu hapa Baba Askofu Mwamakula.

View attachment 3192080

Ni vema wale wote walioshambulia Chadema bila ushahidi wowote wajitokeze hadharani, Tena kwenye Ukurasa wa mbele wa JF kama vile walivyokuwa na kiherehere wakati wanaandika uongo hapa JF, Vinginevyo nitawataja kwa majina yao yote matatu na nitawatangaza kama Maadui wa Nchi wa Milele, NAWAPA WIKI MOJA TU YA KUOMBA RADHI.

Mungu Ibariki Chadema
Naona hajakamilisha kuwa ALITEKELEZA AU ALITELEKEZA OMBI!
 
Kuna uongo mwingi sana kwenye utawala .

Lakini pia tawala zote za kidunia zina magenge ya wahuni wanafaidika na tawala hizo kifisadi na hizo hua zimejaa wauaji .
Hata awamu hii wapo tena ni hatari kuliko awamu ya Tano .Awamu hii ina watu wenye viashiria vya Udini na kutafsiri kila jambo kwa misingi ya Udini . Hali hii ilikuwepo hata awamu ya pili ,wakatokea magaidi wa mwembe Chai wakaisumbua sana serikali iliyokuwa inaongozwa na Alhaji Shehe Mwinyi , Ugaidi ukaribu tena awamu ya tatu kula Zenji kwa kiwango cha kuchoma mpaka makanisa , Watu wakawa wanauawa mchana kweupe na kumwagiwa tindikali.
Ikaja awamu ya Nne hali ikawa tete wakatokea WATU waliojiita uamsho kule Zanzibar ,Ugaidi ukahamia maeneo ya mikoa ya Pwani ikiwemo Tanga na Pwani . Ulimboka alitekwa na kufanyiwa jaribio la kuuawa .Waliompiga na kung'oa kucha wakawa wanajulikana . Vituo vya polisi vikawa vinachomwa moto ujambazi wa kutisha ,
Awamu ya Tano hali ikawa hivyo hivyo kuteka WATU ,kupotea watu,ugaidi ukaibuka upya kule Kibiti kwenye jimbo la Yule Waziri mwenye nchi hii kama mali yake binafsi . ,

Mabaya yote hayo yanatokana na Magenge yanayopambania watawala ili wapate fedha nyingi zinazokaa kwenye mifuko ya watawala bila kujali umaskini na uchumi wa nchi ukoje .

Kumsema JPM pekee miongoni mwa watawala wengi wa duniani hii ni kujaribu kudanganya umma kuwa kuna wa atawala wasio na mapungufu .

Wa atawala wote mapungufu yao ni kulinda viti vyao kwa gharama yoyote bila kujali hasara ya kifedha .
Walisema WATU wamota mapembe . Na baada ya tamko lile watu wakashindana kukata mapembe ya watu ili kumfurahisha mwenye nchi .
Nadhani kwa Tanzania tatizo ni ccm
 
Chadema haikufuata taratibu za kikatiba kuwafukuza hilo nalo hamuoni kuwa ni mbinu ya Fisadi Mbowe kujisafisha.

Hivi unajua kila mbunge alikua anatoa laki tano kumchangia Mbowe tangu wabunge wakiwa zaidi ya mia moja . Pesa zote hizo Huyo Fisadi alikua anazipeleka wapi wakati chama hakina ofisi za wilaya na majimbo yote ??

Mbowe must go .

..Hukumu ya mahakama kuu inasema kamati kuu ya Chadema ilifuata sheria kuwafukuza uanachama.

..pia mahakama kuu imesema baraza kuu halikupaswa kusikiliza rufaa ya mdee na wenzake.

..kwa msingi huo mdee na wenzake sio wanachama wa Chadema na hawapaswi kuwa bungeni.

..swali la kujiuliza ni nani anawaruhusu kuendelea kuwa bungeni?

..pia ni nani anawezesha rufaa yao kutokusikilizwa kwa muda mrefu kiasi hiki?

..Je, ni sahihi kulinajisi bunge letu kwa kulazimisha wabunge wasio na chama?

..Je, tunajua madhara ya kuzitumia mahakama zetu kisiasa?
 
..Hukumu ya mahakama kuu inasema kamati kuu ya Chadema ilifuata sheria kuwafukuza uanachama.

..pia mahakama kuu imesema baraza kuu halikupaswa kusikiliza rufaa ya mdee na wenzake.

..kwa msingi huo mdee na wenzake sio wanachama wa Chadema na hawapaswi kuwa bungeni.

..swali la kujiuliza ni nani anawaruhusu kuendelea kuwa bungeni?

..pia ni nani anawezesha rufaa yao kutokusikilizwa kwa muda mrefu kiasi hiki?

..Je, ni sahihi kulinajisi bunge letu kwa kulazimisha wabunge wasio na chama?

..Je, tunajua madhara ya kuzitumia mahakama zetu kisiasa?
ccm haijali lolote
 
Nadhani kwa Tanzania tatizo ni ccm
CCM ni tatizo kubwa lakini cha ajabu tuna wapinzani wenye wivu na uhasama mkubwa kwao wenyewe kuliko walio nao kwa CCM .

Mfano tu ni hulka ya kike na utoto aliouonyesha Mbowe .Mtu tuliyekua tunajua kuwa anaichukia CCM kuliko hata anavyomchukia Shetani asiyejulikana kwenye mambo ya siasa na tawala zinye katiba zisizo za kidini kama Tanzania ,baada ya kuchukua fomu kwa hasira eti Lisu amesema amekosoa baadhi ya mifumo kwenye katiba ya chadema na pia kusema kuwa atahakikisha mfumo wa upatikanaji wa fedha na matumizi yake unakua wa kitaasisi na sio mtu binafsi.
Yaani hayo tu akafura kwa hasira na kuchukua fomu ili atumie mwanya huo kujibu mapigo na kusema kuwa amapambaniq sana chama kwa mali zake ,anajitolea kwa mali zake,uongozi wa kisiasa ni mzigo mzito 😂😂😂😂. Sasa mzigo mzito unaungangania wa nini wakati umepata mtu wa kukusaidia 😂😆😆.
Tunamuona kwa dhahiri na genge lake kuwa hawana nia ya kuitoa CCM madarakani mana Madai ya Lisu ndiyo yaliyokuwa yanatumiwa na CCM kwenye kampeni zao kuwaonyesha wananchi kuwa Chadema ni mali ya Mbowe na Sacoss yake ya kujipatia pesa ,lakini pia Suala la Uenyekiti wa chama ni suala la milele kwa Mbowe na mtu yeyote anayejitokeza kugombea anakua ni adui na anaweza hata kupoteza maisha yake . Na pia suala la ukabila lilikua minatajwa sana na CCM na kufanikiwa kuifanya Chadema idumae na kukosa wanachama wapya wasio na vyama .

Tumitegemea Mbowe awe mkomavu wa kisasa na kumuunga mkono Lisu ili wapangue hoja za CCM na kuwaonyesha kwa vitendo kuwa madai yao sio ya kweli . Kwa sababu mtu yeyote anayegombea nafasi ni lazima ajibu maswali ya kwa nini anataka nafasi hiyo na wapi kuna mapungufu ili kuonyesha kuwa hagombei kwa uroho wa madaraka tu au eti kumrithi kiongozi aliyepo .Huu sio utawala wa kifamilia au kifalme wa kurithi tu kama mali ya mtu.

Kikwete angekua na hasira za Mkisi kama Mbowe angeweza kufuta uchaguzi na kuongeza muda wa kukaa madarakani alipoona Lowasa amehama chama ,lakini pia aliposikia Magufuli anasema atawashughulikia mafisadi na majibu yaliyopo CCM . Na paka kusema kuwa serikali iatkayo kuja ni serikali ya Magufuli badala ya kusema ni serikali ya CCM . JK kwa
ukomavu na uelewa wa siasa za kidemokrasia aliangalia taifa ,chama na akaendelea na kumpigia kampeni JPM na kusema kuwa anatema Cheche .

Mbowe angeonyesha ukomavu na busara kwa ajili ya kukilinda chama na kurejesha imani kwa watanzania kuwa wamepata mtu wa kukihuisha chama .


Badala yake anasifia 4R ya kihuni . Mtu anakuruhusu fanya mikutano halafu unatumia gharama kubwa kufanya mikutano kisha uchaguzi ukifika anavuruga uchaguzi na mkilalamika mtu yule yule anatuma majeshi na watu katili wanakuja kuua WATU wako na kukamata wagombea na kupigwa na kuumizwa .Sasa Lisu alikosoa hiyo 4R anakua ni adui kuliko CCM na usanii wao wa 4R ya kuwahadaa wananchi .

Mbowe anajazwa sifa za kijinga kuba ana busara na lisu hana Busara . Hivi busara inatakiwa ifanywe na wapinzani tu na sio CCM ? Kwa nini Mbowe haoni uchafuzi na uhuni wa CCM kwenye uchaguzi kuwa huko ndiko kukosekana kwa Busara na sio lisu anayepinga uonevu.

Mara nyingi Lidu amehudhuria kwenye Misiba ya watu waliouawa kule Singida mpaka wakiwepo wakuu wa wilaya lakini hajawahi kutoa hotuba zenye kujenga hasira na chuki kama ile hatuna ya Mbowe kule Tanga iliyosababisha watu kutaka kumpiga Waziri Madini ! Wapumbavu hawakuona kuwa aliyechochea vurugu alikua ni Mbowe na akajifanya kutuliza vurugu aliyoianzisha yeye. Sasa ile ni busara au usanii ?

Lakini pia aliyeua 4R sio Lisu ni Mbowe mwenyewe siku alipokosa Busara kwenye msiba wa Ally Kibao na kuitisha maandamano ya kumfukuza Rais Dr.Samia Madarakani. Hapa ndipo alipoondoa 4R yeye mwenyewe na sio Lisu. Hapo busara bandia ya Mbowe ililingana na busara ya Dr.Samia 😂😂😂😂😂😂😂Moto ukawaka na mapembe yakakatwa . Sasa hapo nani mkurupukaji kama sio Mbowe . Lisu alihusika vipi kuvunja 4R
Kwa nini tunakubali kudanganywa na CCM ili kumrudisha Mbowe kwenye kiti wapate uchochoro kwenye uchaguzi ujao ?
 
Nadhani kwa Tanzania tatizo ni ccm
CCM ni tatizo kubwa lakini cha ajabu tuna wapinzani wenye wivu na uhasama mkubwa kwao wenyewe kuliko walio nao kwa CCM .

Mfano tu ni hulka ya kike na utoto aliouonyesha Mbowe .Mtu tuliyekua tunajua kuwa anaichukia CCM kuliko hata anavyomchukia Shetani asiyejulikana kwenye mambo ya siasa na tawala zinye katiba zisizo za kidini kama Tanzania ,baada ya kuchukua fomu kwa hasira eti Lisu amesema amekosoa baadhi ya mifumo kwenye katiba ya chadema na pia kusema kuwa atahakikisha mfumo wa upatikanaji wa fedha na matumizi yake unakua wa kitaasisi na sio mtu binafsi.
Yaani hayo tu akafura kwa hasira na kuchukua fomu ili atumie mwanya huo kujibu mapigo na kusema kuwa amapambaniq sana chama kwa mali zake ,anajitolea kwa mali zake,uongozi wa kisiasa ni mzigo mzito 😂😂😂😂. Sasa mzigo mzito unaungangania wa nini wakati umepata mtu wa kukusaidia 😂😆😆.
Tunamuona kwa dhahiri na genge lake kuwa hawana nia ya kuitoa CCM madarakani mana Madai ya Lisu ndiyo yaliyokuwa yanatumiwa na CCM kwenye kampeni zao kuwaonyesha wananchi kuwa Chadema ni mali ya Mbowe na Sacoss yake ya kujipatia pesa ,lakini pia Suala la Uenyekiti wa chama ni suala la milele kwa Mbowe na mtu yeyote anayejitokeza kugombea anakua ni adui na anaweza hata kupoteza maisha yake . Na pia suala la ukabila lilikua minatajwa sana na CCM na kufanikiwa kuifanya Chadema idumae na kukosa wanachama wapya wasio na vyama .

Tumitegemea Mbowe awe mkomavu wa kisasa na kumuunga mkono Lisu ili wapangue hoja za CCM na kuwaonyesha kwa vitendo kuwa madai yao sio ya kweli . Kwa sababu mtu yeyote anayegombea nafasi ni lazima ajibu maswali ya kwa nini anataka nafasi hiyo na wapi kuna mapungufu ili kuonyesha kuwa hagombei kwa uroho wa madaraka tu au eti kumrithi kiongozi aliyepo .Huu sio utawala wa kifamilia au kifalme wa kurithi tu kama mali ya mtu.

Kikwete angekua na hasira za Mkisi kama Mbowe angeweza kufuta uchaguzi na kuongeza muda wa kukaa madarakani alipoona Lowasa amehama chama ,lakini pia aliposikia Magufuli anasema atawashughulikia mafisadi na majibu yaliyopo CCM . Na paka kusema kuwa serikali iatkayo kuja ni serikali ya Magufuli badala ya kusema ni serikali ya CCM . JK kwa ye
komavu na uelewa wa siasa za
..Hukumu ya mahakama kuu inasema kamati kuu ya Chadema ilifuata sheria kuwafukuza uanachama.

..pia mahakama kuu imesema baraza kuu halikupaswa kusikiliza rufaa ya mdee na wenzake.

..kwa msingi huo mdee na wenzake sio wanachama wa Chadema na hawapaswi kuwa bungeni.

..swali la kujiuliza ni nani anawaruhusu kuendelea kuwa bungeni?

..pia ni nani anawezesha rufaa yao kutokusikilizwa kwa muda mrefu kiasi hiki?

..Je, ni sahihi kulinajisi bunge letu kwa kulazimisha wabunge wasio na chama?

..Je, tunajua madhara ya kuzitumia mahakama zetu kisiasa?

Anayewaruhusu ni busara feki za Mbowe . Hivi unaweza kusema kuwa Samia Must go badala ya kusema Covid 19 must go.
Hiyo ingekua ni agenda kubwa 4R kwamba wale watoke ili wapeleke wengine kwa kufuata taratibu za chama kama moja ya masharti ya kuisapoti serikali na kumuungakono Samia kwenye 4R.

Kama Mbowe angeitisha maandamano ya kuwatoa bungeni Covd 19 angeungwa mkono sana lakini sio maandamano ya kumtoa Dr. Samia madarakani . Hapo Mbowe alivunja mwenyewe 4R halafu anamsingizia Lisu
 
Tumeandika humu JF kwa miaka mingi kwamba kwa namna yoyote ile Chadema haikuwahi kuteua Wabunge wa Viti Maalum baada ya Uchaguzi wa 2020, tulifafanua kisomi kwamba Chadema haikuwa na uwezo wa kwenda Gerezani usiku wa manane kumtoa Mfungwa Nusrst Hanje na kumpeleka Bungeni kuapishwa ili awe mbunge wa viti maalum, Watu wajinga walitupinga na kututukana matusi ya nguoni huku lengo lao likiwa kuchafua Chadema, (Hata hivyo hawakufanikiwa).

Sasa Andiko hili la Askofu Mwamakula limewavua nguo na kuwaacha watupu wale wote waliohusisha Uchafu ule wa serikali ya awamu ya 5 wakishirikiana na Baraza lote la Mawaziri pamoja na Spika Ndugai na Tulia Ackson.

Huyu hapa Baba Askofu Mwamakula.

View attachment 3192080

Ni vema wale wote walioshambulia Chadema bila ushahidi wowote wajitokeze hadharani, Tena kwenye Ukurasa wa mbele wa JF kama vile walivyokuwa na kiherehere wakati wanaandika uongo hapa JF, Vinginevyo nitawataja kwa majina yao yote matatu na nitawatangaza kama Maadui wa Nchi wa Milele, NAWAPA WIKI MOJA TU YA KUOMBA RADHI.

Mungu Ibariki Chadema
Hata askofu sasa wanamzushia magufuli
 
Wewe ni mbwiga Mno

Yaani CCM iteue hao COVID 19 kwa sababu ya Maendeleo ya nchi halafu wawaombe Mbowe na LISU waridhie?

Yaani Kabisa Magufuli aombe idhini ya Mbowe aliyefeli jimboni Hai?

Acheni ujinga 🐼😄
Maelekezo kutoka mkutano mkuu,uliohitimishwa,kwani iwapo ukasema ni mmoja au mnufaika na kuibuka kwa civid 19,utapungukiwa nini?
 
Back
Top Bottom