Hii ni habari njema kutokea UN. Uthibitisho zaidi kuwa ni nini iliyo kiu ya watu kote duniani.
Tusidanganyane tunataka kupumua kwa uhuru, haki na usawa kisiasa na kijamii.
Kiongozi dikteta si wa zama hizi.
Hautakuwa peke yako baba askofu.
Zambia wametambuliwa kwa jitihada zao za kujenga demokrasia. Tuko katika njia salama. Kasema rais wa dunia wako tayari kujadiliana na kuwaunga mkono wapigania demokrasia kote duniani.
Pamoja na yote hatuko peke yetu na SSH ameambiwa hivyo kama mjumbe rasmi mkutanoni.
Aluta Continua!
Tusidanganyane tunataka kupumua kwa uhuru, haki na usawa kisiasa na kijamii.
Kiongozi dikteta si wa zama hizi.
Hautakuwa peke yako baba askofu.
Zambia wametambuliwa kwa jitihada zao za kujenga demokrasia. Tuko katika njia salama. Kasema rais wa dunia wako tayari kujadiliana na kuwaunga mkono wapigania demokrasia kote duniani.
Pamoja na yote hatuko peke yetu na SSH ameambiwa hivyo kama mjumbe rasmi mkutanoni.
Aluta Continua!