escrow one
JF-Expert Member
- Nov 29, 2014
- 1,473
- 2,868
wewe ungekuwa unajitambua ungekuwa kwenye CEOrt muda huu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe ungekuwa unajitambua ungekuwa kwenye CEOrt muda huu.
Usilie Dunia imeshaamuwa stay tuned......SISI ASKOFU MAANA YAKE NINI ACHA NJAA ZAKO UMEIBA SADAKA UMEONA HAZITOSHI UMEKIMBILIA KWENYE SIASA
ataishia kujambishwa tu nahakunaanaweza kufanyaUsilie Dunia imeshaamuwa stay tuned......
Usinililie mimi sasa huo ndo MWONGOZO WA DUNIA KWA SASA....ataishia kujambishwa tu nahakunaanaweza kufanya
Kajifunze dini na theolojia vizuri kwa mchungaji wako. Hao uliowataja waliomshitaki hawakuwa wanasiasa ni watu wa dini. Watu pekee wa siasa ni Pilato na Herode na hao hawakuona hatia yoyote juu yake. wakabaki kuwa wanarushiana kama mpira kesi yake nenda kwa huyu rudishwa kwa huyu. Yesu hakufanya siasa na hatakuwa mwanasiasa.Lakini alishitakiwa na hatimae kusulubishwa kwa sababu za kisiasa. Katika mahubiri yake aligusa na kutikisa maslahi ya Mafarisayo na hasa Makuhani wao. Kayafa ndiye kuhani mkuu Myahudi aliyesikiliza kesi ya Yesu na kutoa hukumu. (Yoh. 11:48-50)
KAYAFAKaji
Kajifunze dini na theolojia vizuri kwa mchungaji wako. Hao uliowataja waliomshitaki hawakuwa wanasiasa ni watu wa dini. Watu pekee wa siasa ni Pilato na Herode na hao hawakuona hatia yoyote juu yake. wakabaki kuwa wanarushiana kama mpira kesi yake nenda kwa huyu rudishwa kwa huyu. Yesu hakufanya siasa na hatakuwa mwanasiasa.
Watanzania dunia ya leo wanajaribu kuuhadaa ulimwengu,tunayo democrasia ya kwetu na haiwezi kufanana na kwingineko duniani,hulu tunazibana midomo na hata, pua ili tusipumue.Kudai katiba mpya si kufanya fujo
Ahsante kwa ushauri, nimesoma tenaKaji
Kajifunze dini na theolojia vizuri kwa mchungaji wako. Hao uliowataja waliomshitaki hawakuwa wanasiasa ni watu wa dini. Watu pekee wa siasa ni Pilato na Herode na hao hawakuona hatia yoyote juu yake. wakabaki kuwa wanarushiana kama mpira kesi yake nenda kwa huyu rudishwa kwa huyu. Yesu hakufanya siasa na hatakuwa mwanasiasa.
Hii ni habari njema kutokea UN. Uthibitisho zaidi kuwa ni nini iliyo kiu ya watu kote duniani.
Tusidanganyane tunataka kupumua kwa uhuru, haki na usawa kisiasa na kijamii.
Kiongozi dikteta si wa zama hizi.
Hautakuwa peke yako baba askofu.
Zambia wametambuliwa kwa jitihada zao za kujenga demokrasia. Tuko katika njia salama. Kasema rais wa dunia wako tayari kujadiliana na kuwaunga mkono wapigania demokrasia kote duniani.
Pamoja na yote hatuko peke yetu na SSH ameambiwa hivyo kama mjumbe rasmi mkutanoni.
Aluta Continua!
Mtu wa dini huyoKAYAFA
Ahsante kwa ushauri, nimesoma tena
(Yohana 18:29, 30) Pilato alikataa hoja hiyo na kuwalazimu Wayahudi kutunga shtaka jipya: “Tulimkuta mtu huyu akipindua taifa letu na kuwakataza watu wasimlipe Kaisari kodi na kusema kwamba yeye mwenyewe ni Kristo mfalme.”
(Luka 23:2) Hivyo, kosa la kukufuru likabadilishwa kwa ujanja na kuwa kosa la uhaini.
POLE ukiwa unajitahidi kusoma na kusikiliza vizuri yatokayo kwa Mchungaji wako, UTAELEWA tu. AMEN
Hahaha kashona kwa fundi dauda..aulize wa tec wanavitolea wapi
Muscat ama RiyadhKwani shungi limeshonwa kwa nani?
UN iwe sauti ya kudai katiba mpya
Muscat ama Riyadh
Watanzania dunia ya leo wanajaribu kuuhadaa ulimwengu,tunayo democrasia ya kwetu na haiwezi kufanana na kwingineko duniani,hulu tunazibana midomo na hata, pua ili tusipumue.
IPO siku watu wataingia barabaranKwamba jitihada zetu zinaeleweka mbele ya waungwana, inatosha sana.
🤣 🤣 🤣 AMENYesu hakukutwa na kosa lolote kisiasa. Ila kuwaridhisha wayahudi ilibidi afe hata baada ya Pilato kutoa fursa ya kuachiwa kwa msamaha ambao wayahudi bado walikataa ukaenda kwa baraba na ndipo pilato akanawa maji. Wayahudi walimwambia asiwe na shaka kama ni laana ama hatia basi na iwe juu yao na vizazi vyao.
Bottom line fanyeni siasa ila kutumia sentiments za dini haiwasaidii
Wao wenyewe wanataka Katiba mpyaFanya Fujo Uone (FFU)