Hivi nyie kina "dada" wanaume wa aina ya steve huwa mnawaelewaga?? Kwajinsi wanawake wasivyopenda mtu asiyeweza kusimamia kauli zake huyu sijui kama mkewe hajamuacha hadi leo!Matatizo ya kuishi mjini kiujanja ujanja, kule alisema mako hana maana wala hataongea nae tena, kwenye press conference anasema mheshimiwa mkuu wa mkoa natimiza majukumu yake.
Mwanaume dizaini hiyo kule kwetu Kwamtogole kisuto kikianguka mnavalishwa madera ya kufanana shurti na taarabu na keki juu.Hivi nyie kina "dada" wanaume wa aina ya steve huwa mnawaelewaga?? Kwajinsi wanawake wasivyopenda mtu asiyeweza kusimamia kauli zake huyu sijui kama mkewe hajamuacha hadi leo!
Kajitia aibu sana.. Hata alichofanyiwa hakitofautina na ulichosema..Mwanaume dizaini hiyo kule kwetu Kwamtogole kisuto kikianguka mnavalishwa madera ya kufanana shurti na taarabu na keki juu.
Mkuu ninahisi kuna mkono wa kule kwenye ukada, maana aliwaanika viongozi wa juu si kitoto kule kwenye clip ya mama Sepetu.Kajitia aibu sana.. Hata alichofanyiwa hakitofautina na ulichosema..
Unadhani alizungumza na waandishi kwa kupenda??
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mkuu ninahisi kuna mkono wa kule kwenye ukada, maana aliwaanika viongozi wa juu si kitoto kule kwenye clip ya mama Sepetu.
ni kichekesho kwamba watu wasio kuwa na akili kama hawa ndio wanaoongoza nchi sasaivi, wanaweza kuwaaproach hata viongozi wetu wakubwa kabisa. atu sifuri kama huyu naye ni mtu muhimu kwenye nchi hii?Wakati sakata la audio inayosemekana ni mazungumzo baina ya mtu anayesadikiwa kuwa steve nyerere na mama wa wema sepetu kuvuja, Video queen maarufu nchini, Anna Patrick maarufu kama Tunda amemjia juu steve nyerere na kumtolea maneno ya shombo baada ya steve kusikika kwenye audio iliyovuja akimponda tunda kuwa ni mjinga kukubali kurubuniwa na makonda na kupewa mil 2.
Mkuu kwanza Iceman 3D atolewe hapa na vyeti vyake vyote, kitambulisho cha mpiga kura na passport viambatanishwe na thread na comment zake. Mbona patakua padogo.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mi nakwambia wengi hapa tuna msema Nyerere ila ingekuwa kila mtu anarekodiwa mambo yake private wengi tungekimbiana
Ila alivo itisha press ndio alijichanganya kabsaaa.
Umemaliza yote.Ukimuita mnafiki utampendelea Yule ni mchawi, na ndio maana mama wema alimrecord coz anamjua tu ni ndumi la kuwili, anakula huku na huko, usikute alimpigia simu mtu mwingine kumponda wema na mama yake
HahahahaMkuu kwanza Iceman 3D atolewe hapa na vyeti vyake vyote, kitambulisho cha mpiga kura na passport viambatanishwe na thread na comment zake. Mbona patakua padogo.
Huwa nawashangaa zaidi waandishi wa habari wanaoitwa na kinyago kama huyu kwenye press conference sidhani kama ni waandishi kweli labda washika camera tu.ni kichekesho kwamba watu wasio kuwa na akili kama hawa ndio wanaoongoza nchi sasaivi, wanaweza kuwaaproach hata viongozi wetu wakubwa kabisa. atu sifuri kama huyu naye ni mtu muhimu kwenye nchi hii?
Mkuu amejiumbua Zaidi kuita press conference.Hahahaha
Aki ntaitusha press na mimi sta kubali.
Mimi huwa simsemi Nyerere kwa kuwa hata walivo mdukua Mama Hillary Clinton niligundua ni mnafiki na mmbeya
Acha privacy iitwe privacy
Yes halafu huwa hatujibu watu wakat tuna jazba au tuko kwenye uncertainity angemuuliza manji tu angepata jibu, shida kama hizo sio za ku react haraka.Mkuu amejiumbua Zaidi kuita press conference.
nitazira vingine vyooote lakini sio hela na jua lote hili sintachekwa looohhh[emoji57] [emoji57]Wakati sakata la audio inayosemekana ni mazungumzo baina ya mtu anayesadikiwa kuwa steve nyerere na mama wa wema sepetu kuvuja, Video queen maarufu nchini, Anna Patrick maarufu kama Tunda amemjia juu steve nyerere na kumtolea maneno ya shombo baada ya steve kusikika kwenye audio iliyovuja akimponda tunda kuwa ni mjinga kukubali kurubuniwa na makonda na kupewa mil 2.
Sina mbavu mm ngoja nifafute popcornWanaume wafupi soko letu linazidi kubanwa na wanachama kama hawa.
Tujipange
Kwa hiyo Suzie una muunga mkoni bwana steve!?nitazira vingine vyooote lakini sio hela na jua lote hili sintachekwa looohhh[emoji57] [emoji57]