Baada ya Audio kuvuja, Tunda Amlipua Steve Nyerere

Matatizo ya kuishi mjini kiujanja ujanja, kule alisema mako hana maana wala hataongea nae tena, kwenye press conference anasema mheshimiwa mkuu wa mkoa natimiza majukumu yake.
Hivi nyie kina "dada" wanaume wa aina ya steve huwa mnawaelewaga?? Kwajinsi wanawake wasivyopenda mtu asiyeweza kusimamia kauli zake huyu sijui kama mkewe hajamuacha hadi leo!
 
Mwanaume dizaini hiyo kule kwetu Kwamtogole kisuto kikianguka mnavalishwa madera ya kufanana shurti na taarabu na keki juu.
Kajitia aibu sana.. Hata alichofanyiwa hakitofautina na ulichosema..
Unadhani alizungumza na waandishi kwa kupenda??
 
Mkuu ninahisi kuna mkono wa kule kwenye ukada, maana aliwaanika viongozi wa juu si kitoto kule kwenye clip ya mama Sepetu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mi nakwambia wengi hapa tuna msema Nyerere ila ingekuwa kila mtu anarekodiwa mambo yake private wengi tungekimbiana

Ila alivo itisha press ndio alijichanganya kabsaaa.
 
ni kichekesho kwamba watu wasio kuwa na akili kama hawa ndio wanaoongoza nchi sasaivi, wanaweza kuwaaproach hata viongozi wetu wakubwa kabisa. atu sifuri kama huyu naye ni mtu muhimu kwenye nchi hii?
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mi nakwambia wengi hapa tuna msema Nyerere ila ingekuwa kila mtu anarekodiwa mambo yake private wengi tungekimbiana

Ila alivo itisha press ndio alijichanganya kabsaaa.
Mkuu kwanza Iceman 3D atolewe hapa na vyeti vyake vyote, kitambulisho cha mpiga kura na passport viambatanishwe na thread na comment zake. Mbona patakua padogo.
 
Ukimuita mnafiki utampendelea Yule ni mchawi, na ndio maana mama wema alimrecord coz anamjua tu ni ndumi la kuwili, anakula huku na huko, usikute alimpigia simu mtu mwingine kumponda wema na mama yake
Umemaliza yote.
 
Mkuu kwanza Iceman 3D atolewe hapa na vyeti vyake vyote, kitambulisho cha mpiga kura na passport viambatanishwe na thread na comment zake. Mbona patakua padogo.
Hahahaha
Aki ntaitusha press na mimi sta kubali.

Mimi huwa simsemi Nyerere kwa kuwa hata walivo mdukua Mama Hillary Clinton niligundua ni mnafiki na mmbeya
Acha privacy iitwe privacy
 
ni kichekesho kwamba watu wasio kuwa na akili kama hawa ndio wanaoongoza nchi sasaivi, wanaweza kuwaaproach hata viongozi wetu wakubwa kabisa. atu sifuri kama huyu naye ni mtu muhimu kwenye nchi hii?
Huwa nawashangaa zaidi waandishi wa habari wanaoitwa na kinyago kama huyu kwenye press conference sidhani kama ni waandishi kweli labda washika camera tu.
 
Yaani ukiwa kwenye tension kama ile kamwe usithubutu kuzungumza mbele ya hadhara lazma utaharibu zaidi!
sijui nani alimshauri aite waandishi katika hali ile!

haka kajamaa kapomole sana
 
Mkuu amejiumbua Zaidi kuita press conference.
Yes halafu huwa hatujibu watu wakat tuna jazba au tuko kwenye uncertainity angemuuliza manji tu angepata jibu, shida kama hizo sio za ku react haraka.
Kwenye press ndio aliharibu zaidi
 
nitazira vingine vyooote lakini sio hela na jua lote hili sintachekwa looohhh[emoji57] [emoji57]
 
Weka hapa hiyo audio, mimi sitaki kuuziwa mbuzi Kwenye kiloba
 
Hivi dawa nzuri ya watu kama Steve nyerere a.k.a wanafiki ni nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…