Baada ya Audio kuvuja, Tunda Amlipua Steve Nyerere

[emoji124][emoji124][emoji124]Napita tu....... Ngoma ya watoto haikeshi!!!
 
Hivi huyo Steve hana jina la baba yke? Maana jina la baba wa wenzake ndo kafanya sasa kuwa ndo la baba yke.

Apigwe maarufuku na familia ya Mwalimu Nyerere kulitumia jina hili,, kama ni kuiga sauti isiwe ndio sabb,, mbona vijana wengi tu wanauwezo wa kuiga sauti za viongozi mbalimbali lakini bado wamebaki na majina ya baba zao.

HIV baba yke anajisikiaje wakati mwanae Anaitwa jina LA upande wa pili? Analidhalilisha Jina la Baba wa Taifa kwa vikauli vyake hivi vya hovyo hovyo,, Nyerere hakuwa na vitabia vya hovyo kama vya huyu kijana hapana ifike mahali sasa atumie jina la baba yke,, Makongoro Nyerere hebu ukuje utwambie huyu kijana vipi ni WA familia yenu huyu ?
 
Matatizo ya kuishi mjini kiujanja ujanja, kule alisema mako hana maana wala hataongea nae tena, kwenye press conference anasema mheshimiwa mkuu wa mkoa natimiza majukumu yake.
Yaan huyu babu nilichoka kwa kweli nilipozisikia zilw audio na maneno aliyoyasema kwenye press conference nayo pia nikaona ni ya uongo hamna la ukwel hata
 
Yaan mama wema asingemrekod huyo steve angekana maneno yake yote aliyoysongea na tungemuona mama wema karukwa na akil ila karekodiwa yote na bado anajichanganya aiseee kazi ipo
 
Ukuwadi mbaya sana. Kweli mjini mipango watu wanaishi kiujanja na kukuwadia watu ndo wapate ridhiki.
 
If you could have been the really men with your words.. .you should have standings with what you said bwege mkubwa wee nyoooo sio unaleta uwongo uwongo wako hapa usio na maana .. Cowardly bustard!
 
Huyu Steve kajiharibia sana, tena bora angekaa kimya. Ila nilichofurahi ni kupata mwanga wa kwa nini wabunge walikuwa wanamtetea sana Wema na kumuandama sana Mh. Makonda.
hata mimi ndipo nilipojua jua. kwanin walikuwa wanamtetea wema demu wa wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…