Baada ya Baharia sasa ni upepo wa kisuli suli

Baada ya Baharia sasa ni upepo wa kisuli suli

Kamgomoli

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2018
Posts
1,896
Reaction score
4,058
Huu upepo unavuma sana takribani wiki hii yote huenda ndio ulioleta mvua na mafuliko mikoa ya pwani. Hadi huku bara


images.jpeg

hali si shwari, vipi huko mliko hali ikoje?
 
Hv Yule mama muasisi wa huu upepo ibada zake anafanya siku gani?
 
Hivi nyie hamjui kuwa mama kaona mbali???? Vijana wa siku hizi ni waoga wa kuoa. Kama mnabisha kesho si Jumamosi? hebu tembelea makanisani mjionee wenyewe. Wababa wenye kuanzia 40+ ndio wanafunga ndoa. Siku hizi sio kama zamani kukuta yanki miaka 28 akioa.
Huyu mama anasikitika na hali hii wabinti wanaopaswa kuolewa wanakosa hata kijana hata wa kumtania. THIS ISSUE IS SO SERIOUS muache mzaha.
 
Back
Top Bottom