mjumbe wa bwana
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 5,252
- 6,118
Ule uliosababisa gorofa kuvunjwaHebu tutumie ule mchoro wa mwanzo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ule uliosababisa gorofa kuvunjwaHebu tutumie ule mchoro wa mwanzo
Haitaji credit yako wewe endelea kupinga kila kitu na umri ndiyo hivyo tena unaenda mara paa 70yrs ukiendelea kupinga tu na stress juu!Magu sifa nyiiingi uwezo hamna.
Angejenga ile ndio tungempa credit anakuja kutujengea sijui kitu gani angetoa hata notice kwa umma sasa
Credit yangu kama mwananchi ni muhimu sana, ni mpumbavu pekee ndiye atasema haina.Haitaji credit yako wewe endelea kupinga kila kitu na umri ndiyo hivyo tena unaenda mara paa 70yrs ukiendelea kupinga tu na stress juu!
kwa hiyo?
Haitaji credit yako wewe endelea kupinga kila kitu na umri ndiyo hivyo tena unaenda mara paa 70yrs ukiendelea kupinga tu na stress juu!
mkuu DeWitt J point yako kuu ipo ktk kubadilishwa kwa ramani pia kubomolewa kwa gorofa la tanesco...., nahisi haya mambo mengine ya viongozi wetu yamekaa kimashindano ya kisiasa na kukomoana! japo sina uhakika ila nahisi sana sana khs kubomolewa kwa jengo moja la tanescoCredit yangu kama mwananchi ni muhimu sana, ni mpumbavu pekee ndiye atasema haina.
.
September ataanza kuzurura kuja kunishawishi nimpigie kura atatumia nguvu kubwa sana na sitamuelewa, hawezi nionyesha rander ya ghorofa kama Burj Khalifa alafu anijengee kama Millennium tower that's stupidity