Congrats lakin kuweka mabo sawa na clouds ni jambo la muhmu nazan kwa kufanya hivyo watafrahi zaid kuona wamemwandaa mtangazaji,msanii na baadae ukaweza kufungua kituo chako cha radio jide
Cngrts jde ila kaa na clouds uweke mambo sawa mmetoka mbali wamekujenga kama mtangazaji..msanii na sasa unaanzsha radio station yako naamn watakuwa wanajivunia kukusuport adi ulpofkia hasra hasara
who is ruge...ni kijana mdogo media wanamkuza au kwa sababu almtumia dogo kumnyanganya sugu tenda ya malaria mbona alfyata akaomba wamalizane na sugu..mtu wa kawaida sana