The useful idiot
JF-Expert Member
- Jul 14, 2024
- 1,019
- 2,670
Habari,
Imekua ikinitokea kwa mademu kadhaa naanza nao kwenye mahusiano ila baada ya kupeana mabusu mademu hao mawasiliano yanaisha hapo hapo na wengine wana block namba yangu, wa mara ya mwisho imetokea hivyo baada ya kiss nzito kwenye chocho mida ya night siku inayofuata sijamuona tena hadi Leo hii
Nipeni ushauri
Imekua ikinitokea kwa mademu kadhaa naanza nao kwenye mahusiano ila baada ya kupeana mabusu mademu hao mawasiliano yanaisha hapo hapo na wengine wana block namba yangu, wa mara ya mwisho imetokea hivyo baada ya kiss nzito kwenye chocho mida ya night siku inayofuata sijamuona tena hadi Leo hii
Nipeni ushauri