Baada ya busu tukaachana

Labda mpangilio wa meno yako mungu hakuuweka sawa mkuu! Au mate yako yana asidi nimengi yakufikilia hapo .tatizo huwa hawasemi.
Yapo vizuri ila kuna mmoja baada ya denda akaniomba buku 7 nikamwambia sina tangu siku hiyo aliblock namba yangu
 
Ila let's be honest
Haya mambo ya denda ni ya kigeni inabidi kuwe na sanctuary 18+ class kujifunza hii
 
Unamwachaje kwa kumpa kiss tu...ndo maana wanakuona hanithi nakukumbia...huko huko kwenye chombo cha usafiri we Tembeza Rungu.
 
Unamwachaje kwa kumpa kiss tu...ndo maana wanakuona hanithi nakukumbia...huko huko kwenye chombo cha usafiri we Tembeza Rungu.
Bro demu nimejuana nae juzi leo nipo nae chocho ambapo hata denda mpaka nivizie watu wapite alafu namla je ukizingatia ameagizwa dukani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…