The useful idiot
JF-Expert Member
- Jul 14, 2024
- 1,019
- 2,670
- Thread starter
-
- #21
Si wangesema tu au kwani kunirekebisha walishindwa mpaka tuachane?Wewe kuweza kupiga denda mdomo unaotoa ute mzito kama bamia?
Lipia tangazo blohUnanuka mdomo, mdomo mchafu, itβs 150,000 kutengeneza kinywa!
Yapo vizuri ila kuna mmoja baada ya denda akaniomba buku 7 nikamwambia sina tangu siku hiyo aliblock namba yanguLabda mpangilio wa meno yako mungu hakuuweka sawa mkuu! Au mate yako yana asidi nimengi yakufikilia hapo .tatizo huwa hawasemi.
Ipo kiasi blohPesa vipi mkuu ipo nayo?
kumbe tunahangaika na bahiri hapa! Alooo emu wape wanawake hela nilitaka kushangaaYapo vizuri ila kuna mmoja baada ya denda akaniomba buku 7 nikamwambia sina tangu siku hiyo aliblock namba yangu
Nawapa ila elfu 7 kwa kiss? Bora ingekua shookumbe tunahangaika na bahiri hapa! Alooo emu wape wanawake hela nilitaka kushangaa
Elezea zaidiIla let's be honest
Haya mambo ya denda ni ya kigeni inabidi kuwe na sanctuary 18+ class kujifunza hii
Napenda kukiss denda na shingoni ila sielewi kwanini wanawake wengi wananiambia hawaendi kiss
Okeeei na inatoka pia au ndio Mwanafalsafa?Ipo kiasi bloh
Vocha, nauli na kama 50k kwa mwezi uwa nampaOkeeei na inatoka pia au ndio Mwanafalsafa?
πππ akija Mzabzab nishtue.
Unamwachaje kwa kumpa kiss tu...ndo maana wanakuona hanithi nakukumbia...huko huko kwenye chombo cha usafiri we Tembeza Rungu.Habari,
Imekua ikinitokea kwa mademu kadhaa naanza nao kwenye mahusiano ila baada ya kupeana mabusu mademu hao mawasiliano yanaisha hapo hapo na wengine wana block namba yangu, wa mara ya mwisho imetokea hivyo baada ya kiss nzito kwenye chocho mida ya night siku inayofuata sijamuona tena hadi Leo hii
Nipeni ushauri
darasa la wakubwa la kujifunza kupiga hizo kiss, maana unaweza kosea ukaondoka na ulimi wa kibinti cha watu.Elezea zaidi
Bro demu nimejuana nae juzi leo nipo nae chocho ambapo hata denda mpaka nivizie watu wapite alafu namla je ukizingatia ameagizwa dukaniUnamwachaje kwa kumpa kiss tu...ndo maana wanakuona hanithi nakukumbia...huko huko kwenye chombo cha usafiri we Tembeza Rungu.