KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,794
- 9,075
Nimecheka sana!Mbona mlimpatia Magufuli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimecheka sana!Mbona mlimpatia Magufuli.
Everything happens on purpose...This is a narcissistic personality disorder (NPD) case. Sioni wa kumlinganisha naye. In 2021, as you may recall, this idiot literally set his country on fire just because he lost an election. Kiumbe wa aina gani huyu?
Kama wamerkan hawwna mbada au viwanda vya hivyo vitu wajiandae kwa muumivu ya ujenziNa Mwamba ndo kwanza anazidi kutoa Onyo!!
Inawezekana kwa Trump, Dunia yote ikapigishwa Magoti.
View attachment 3267185
Trump ni mkakati wa Putin kuidhoofisha USA , wakati huu China hajengi uadui anatafuta marafiki ila USA anapoteza hata wale waliokuwa marafiki zakeNa Mwamba ndo kwanza anazidi kutoa Onyo!!
Inawezekana kwa Trump, Dunia yote ikapigishwa Magoti.
View attachment 3267185
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Trump ni mkakati wa Putin kuidhoofisha USA , wakati huu China hajengi uadui anatafuta marafiki ila USA anapoteza hata wale waliokuwa marafiki zake
Mbona kama uamuzi aliofanya ni wa kizalendo sana. Iko hivi, ukitaka kulinda soko la ndani, or let's put this way, ukitaka kulinda bidhaa zinazo tengenezwa ndani ya nchi, pandisha kodi mzigo wa aina hiyo unaotoka nje ya nchi, that's means, raia wako wataacha kununua vitu kutoka nje ya nchi na kununua vya ndani; tofauti na hapa kwetu, gari na bidhaa ambazo hatutengenezi ndio vina kodi kubwa lakini juice kutoka Misri inauzwa bei moja na juice ya namna hiyo hiyo kutoka Azam.Americans must pay a price for their foolish decision to send an idiot back into The White House. Unampaje rungu kichaa, kwa mfano?
Acha kumlinganisha Trump na vitu vya kipuuzi.Mbona mlimpatia Magufuli.
Ukubwa wa pua si wingi wa kamasi.Canada inatafutwa kwa hali na mali ili ijiunge US.....lakin Canada ni kubwa kuliko marekani in term of km² sijui itakuwaje.
Analinda soko la bidhaa ambazo hazipo? Makampuni yao mengi yamehamishia plants zake nje ya nchi kwa sababu kule gharama za uzalishaji ziko chini. Cheap labor, cheap everything. Ndiyo maana hizi tariffs ni mzigo kwa consumers, kwa sababu hawana ujanja wa kuzikwepa bidhaa za kutoka nje!Mbona kama uamuzi aliofanya ni wa kizalendo sana. Iko hivi, ukitaka kulinda soko la ndani, or let's put this way, ukitaka kulinda bidhaa zinazo tengenezwa ndani ya nchi, pandisha kodi mzigo wa aina hiyo unaotoka nje ya nchi, that's means, raia wako wataacha kununua vitu kutoka nje ya nchi na kununua vya ndani; tofauti na hapa kwetu, gari na bidhaa ambazo hatutengenezi ndio vina kodi kubwa lakini juice kutoka Misri inauzwa bei moja na juice ya namna hiyo hiyo kutoka Azam.
Umeusoma uzi vizuri? Hajaweka KODI kubwa kwa vitu vyote, kasema bidhaa za vyuma na Aluminum. Huoni kama hizo ni malighafi kwa viwanda vya ndani bro? Hizo ni malighafi kwa viwanda na sio raia wa kawaida, kwa kufanya hivo maanake bidhaa zitakazo tengenezwa na hivo viwanda (kwa mujibu wako, viwanda vya Wamarekani havipo Marekani anymore) vitauzwa kwa bei rahisi.Analinda soko la bidhaa ambazo hazipo? Makampuni yao mengi yamehamishia plants zake nje ya nchi kwa sababu kule gharama za uzalishaji ziko chini. Cheap labor, cheap everything. Ndiyo maana hizi tariffs ni mzigo kwa consumers, kwa sababu hawana ujanja wa kuzikwepa bidhaa za kutoka nje!
Kabisa mkuuHuyu fala atakuja kujutia MAAMUZI yake ya kungese
Heee😳🙄Americans must pay a price for their foolish decision to send an idiot back into The White House. Unampaje rungu kichaa, kwa mfano?
Us baba laoKumbe Canada inapewa ulinzi na Marekani?kazi ipo
🙄😁DuhTrump ni mkakati wa Putin kuidhoofisha USA , wakati huu China hajengi uadui anatafuta marafiki ila USA anapoteza hata wale waliokuwa marafiki zake
Maeneo ambayo yamekuwa affected na tariffs ni mengi. Sio eneo la producer goods pekee yake. Risk of inflation ingekuwa ndogo kama tariffs zingekuwa kwenye producer goods pekee yake. Fanya utafiti kidogo!Umeusoma uzi vizuri? Hajaweka KODI kubwa kwa vitu vyote, kasema bidhaa za vyuma na Aluminum. Huoni kama hizo ni malighafi kwa viwanda vya ndani bro? Hizo ni malighafi kwa viwanda na sio raia wa kawaida, kwa kufanya hivo maanake bidhaa zitakazo tengenezwa na hivo viwanda (kwa mujibu wako, viwanda vya Wamarekani havipo Marekani anymore) vitauzwa kwa bei rahisi.
😃😃😃Mbona mlimpatia Magufuli.
Kwani Na Wewe Seke Seke la Vyeti Fake Lilikupitia?Acha kumlinganisha Trump na vitu vya kipuuzi.