DOKEZO Baada ya CCM kuchukua manispaa ya Moshi (umeya) na ubunge 2020 maeneo karibia yote ya wazi yamechukuliwa

DOKEZO Baada ya CCM kuchukua manispaa ya Moshi (umeya) na ubunge 2020 maeneo karibia yote ya wazi yamechukuliwa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Mpigania uhuru wa pili

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2023
Posts
3,380
Reaction score
6,376
Mwaka 2020 baada ya CCM kushinda madiwani wengi na hatimaye kutoa meya na ubunge 2020 maeneo yawazi karibia yote yaliota mbawa yaani yalichukuliwa

Moshi nimeishi kipindi cha nyuma mda mrefu sana ila sahivi siishi kulikua na maeneo ya wazi mengi sana ila nilienda mwaka jana December nilishangaa maeneo mengi ya wazi yamechukuliwa maeneo ambayo watoto walikua wanacheza hayapo tena

Na ukiuliza unaambiwa hili ni la kada flani wa CCM kiukweli kuna mambo yanasikitisha sana Tanzania viongozi wawe na huruma na wawafikirie kizazi kijacho mambo mengi wanafanya kwa kuangalia maslai yao

Tuongee ukweli CCM ni chama ambacho watu wanakitumia kwa ajili ya kufikia malengo yao binafsi na sio kwa ajili ya wananchi yaani ni chama cha kijangili
 
Uchu, Njaa, Dhiki Kuu na laana Ni Mali za Mbogamboga.
 
Mwaka 2020 baada ya CCM kushinda madiwani wengi na hatimaye kutoa meya na ubunge 2020 maeneo yawazi karibia yote yaliota mbawa yaani yalichukuliwa

Moshi nimeishi kipindi cha nyuma mda mrefu sana ila sahivi siishi kulikua na maeneo ya wazi mengi sana ila nilienda mwaka jana December nilishangaa maeneo mengi ya wazi yamechukuliwa maeneo ambayo watoto walikua wanacheza hayapo tena

Na ukiuliza unaambiwa hili ni la kada flani wa CCM kiukweli kuna mambo yanasikitisha sana Tanzania viongozi wawe na huruma na wawafikirie kizazi kijacho mambo mengi wanafanya kwa kuangalia maslai yao

Tuongee ukweli CCM ni chama ambacho watu wanakitumia kwa ajili ya kufikia malengo yao binafsi na sio kwa ajili ya wananchi yaani ni chama cha kijangili
Mbona Viongozi wa vyama vya ipinzani kila wakati wanawachangisha wananchi? Hiyo si kujinufaisha binafsi? Mbona vyama hivyo havina Ofisi nzuri hadi leo pamoja na michango mingi ya wanachama wao?
 
Mwaka 2020 baada ya CCM kushinda madiwani wengi na hatimaye kutoa meya na ubunge 2020 maeneo yawazi karibia yote yaliota mbawa yaani yalichukuliwa

Moshi nimeishi kipindi cha nyuma mda mrefu sana ila sahivi siishi kulikua na maeneo ya wazi mengi sana ila nilienda mwaka jana December nilishangaa maeneo mengi ya wazi yamechukuliwa maeneo ambayo watoto walikua wanacheza hayapo tena

Na ukiuliza unaambiwa hili ni la kada flani wa CCM kiukweli kuna mambo yanasikitisha sana Tanzania viongozi wawe na huruma na wawafikirie kizazi kijacho mambo mengi wanafanya kwa kuangalia maslai yao

Tuongee ukweli CCM ni chama ambacho watu wanakitumia kwa ajili ya kufikia malengo yao binafsi na sio kwa ajili ya wananchi yaani ni chama cha kijangili
Hivi kumbe walishinda?
 
Mbona Viongozi wa vyama vya ipinzani kila wakati wanawachangisha wananchi? Hiyo si kujinufaisha binafsi? Mbona vyama hivyo havina Ofisi nzuri hadi leo pamoja na michango mingi ya wanachama wao?
Samia kachangiwa inakaribia billion ela ya kuchukua fomu ya urais
 
Back
Top Bottom