Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Kesi inafutwa tu. Mfunguaji anasema sina haja ya kuendelea nayo kama DPP vile.Mtoa mada kama uliota vile! Kama hii case haijafunguliwa CAS bado basi naamini hili swala limekishwamalizwa...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kesi inafutwa tu. Mfunguaji anasema sina haja ya kuendelea nayo kama DPP vile.Mtoa mada kama uliota vile! Kama hii case haijafunguliwa CAS bado basi naamini hili swala limekishwamalizwa...
Kuandika shirikisho umeshindwa.Leo Eng magumashi, eng uchwara eng miyeyusho anaenda kukalipiwa, Kwanini unamnyanyasa dogo, hawataki unamganganiaje, kwani ni kiasi gani muache acheze masebene anakokutaka,.
Sasa apinge na ashupaze shingo, amuulize malinzi alifanzwa kitu gani..View attachment 2647053
Umemsikiliza Rais Samia?Atakuwa huru wapi ?? Waliomdanganya lazima ziwatoke tuu , unafkr sa hv anawachangisha bakuli la bure , ni kulipa
SawasawaUpewe ulinzi
USM ALGER BINGWA