Baada ya Chakula Cha Leo Usiku,tutaesabu siku Chache Fei Toto atakua huru

Mtoa mada kama uliota vile! Kama hii case haijafunguliwa CAS bado basi naamini hili swala limekishwamalizwa...
Kesi inafutwa tu. Mfunguaji anasema sina haja ya kuendelea nayo kama DPP vile.
 
Atakuwa huru wapi ?? Waliomdanganya lazima ziwatoke tuu , unafkr sa hv anawachangisha bakuli la bure , ni kulipa
 
Kuandika shirikisho umeshindwa.

Anyway hiko kikombe cha Abiola kiko wapi?
 
"Huku kwetu wote ni mbumbumbu.."

Alhaj Rage.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…