John Gregory
JF-Expert Member
- Jul 14, 2019
- 1,137
- 2,147
Kashinda bar au kijiweni?Chama kashinda acha upotishaji..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kashinda bar au kijiweni?Chama kashinda acha upotishaji..
Ni vizuri umezinduka kutoka kwenye koma.Huwa mnanifurahisha sana kujifanya mashabiki wa Simba.Siwalaumu ndio inferiority complex inavyowatuma.Gongowazi mna mambo sana.Tatizo letu Simba ni kujazana ujinga ndiyo maana tunaitwa makolo, tushukuru hata tumefìka robo fainali sisi hatuna na hatujawahi kuvhukua kombe lolote msimu huu, sio Ligi kuu,mapinduzi,FA hata huko CAF tushukuru tu tumeshiriki, tujifunze kwa wenzetu Yanga ili tupate hata kombe moja walau Ngao ya jamii.
Mchezaji maachachari wa Al Ahly Mahmod Kahraba amemgaragaza Chama kaatika kuwania nfasi ya Uchezaji bora ya wiki. Ambapo Raia wa misri ambao wanashabikia timu hiyo walipiga kura na kumuwezesha kuibuka kinara.
Simba SC atamaliza nafasi ya pili kwenye kundi lake. Hivyo basi kwa mujibu wa kanuni ni lazima apangiwe kucheza na washindi wa makundi mengine.
Washindi wa makundi mengine ambao wana uhakika wa kumaliza juu ya msimamo ni pamoja na:-
1. Mamelodi Sundown.
2. Wydad Casablanca.
3. Esperance De Tunis.
Hivi ni Vigogo au Miamba ya kiafrika ambapo sote tunafahamu kuwa USHINDI kwao ni lazima. Iwe jua au iwe mvua.
Kwa upande wa Simba, inaafahamika kuwa hawapo ktk ubora wao ambao unafanana na ule wa akina Miqquisone. Hata kufuzu kwao ni kwa sababu walipata fursa ya kuwekwa katika kundi jepesi lenye timu dhaifu kama:-
1. Horoya AC na
2. Vipers SC.
Ipi nafasi ya washiriki hawa wenye matumaini ya kufika nusu fainali na wakijua kabisa team yao sio ya ushindani kama walivyo wenzao Yanga SC...?View attachment 2561747
Kashinda njaa labdaChama kashinda acha upotishaji..
Mumeo ana kazi sanaMchezaji maachachari wa Al Ahly Mahmod Kahraba amemgaragaza Chama kaatika kuwania nfasi ya Uchezaji bora ya wiki. Ambapo Raia wa misri ambao wanashabikia timu hiyo walipiga kura na kumuwezesha kuibuka kinara.
Simba SC atamaliza nafasi ya pili kwenye kundi lake. Hivyo basi kwa mujibu wa kanuni ni lazima apangiwe kucheza na washindi wa makundi mengine.
Washindi wa makundi mengine ambao wana uhakika wa kumaliza juu ya msimamo ni pamoja na:-
1. Mamelodi Sundown.
2. Wydad Casablanca.
3. Esperance De Tunis.
Hivi ni Vigogo au Miamba ya kiafrika ambapo sote tunafahamu kuwa USHINDI kwao ni lazima. Iwe jua au iwe mvua.
Kwa upande wa Simba, inaafahamika kuwa hawapo ktk ubora wao ambao unafanana na ule wa akina Miqquisone. Hata kufuzu kwao ni kwa sababu walipata fursa ya kuwekwa katika kundi jepesi lenye timu dhaifu kama:-
1. Horoya AC na
2. Vipers SC.
Ipi nafasi ya washiriki hawa wenye matumaini ya kufika nusu fainali na wakijua kabisa team yao sio ya ushindani kama walivyo wenzao Yanga SC...?View attachment 2561747
Yaani we utopolo Bure kabisa,unajitekenya na kucheka mwenyewe kazi kuvaa jezi za Simba na kujifanya shabiki wa SimbaTatizo letu Simba ni kujazana ujinga ndiyo maana tunaitwa makolo, tushukuru hata tumefìka robo fainali sisi hatuna na hatujawahi kuvhukua kombe lolote msimu huu, sio Ligi kuu,mapinduzi,FA hata huko CAF tushukuru tu tumeshiriki, tujifunze kwa wenzetu Yanga ili tupate hata kombe moja walau Ngao ya jamii.
Utopolo unaumia,sizitaki mbichi hizi,kama ni Vitu vidogo si usingepoteza muda wako kuandika story yote hiyo,pathetic!Yaani tangu watambue wao ni ma Mbumbumbu wamekua waki komaa na vitu vidogo vidogo vya kipuuzi Kwa kuvitolea macho.
Tuzo za CAF za wiki hazina maana yoyote zaidi ya kuzifanya kurasa za CAF katika mitandao kuwa active. Jamaa tangu timu Yao kukosa vikombe, wanajihusisha na vitu vidogo vidogo sana.
Au tuchukueni na hizo za Kanouté, tuziongezee hapo kwa Chama? Au bado hazitafikia?Mchezaji maachachari wa Al Ahly Mahmod Kahraba amemgaragaza Chama kaatika kuwania nfasi ya Uchezaji bora ya wiki. Ambapo Raia wa misri ambao wanashabikia timu hiyo walipiga kura na kumuwezesha kuibuka kinara.
Simba SC atamaliza nafasi ya pili kwenye kundi lake. Hivyo basi kwa mujibu wa kanuni ni lazima apangiwe kucheza na washindi wa makundi mengine.
Washindi wa makundi mengine ambao wana uhakika wa kumaliza juu ya msimamo ni pamoja na:-
1. Mamelodi Sundown.
2. Wydad Casablanca.
3. Esperance De Tunis.
Hivi ni Vigogo au Miamba ya kiafrika ambapo sote tunafahamu kuwa USHINDI kwao ni lazima. Iwe jua au iwe mvua.
Kwa upande wa Simba, inaafahamika kuwa hawapo ktk ubora wao ambao unafanana na ule wa akina Miqquisone. Hata kufuzu kwao ni kwa sababu walipata fursa ya kuwekwa katika kundi jepesi lenye timu dhaifu kama:-
1. Horoya AC na
2. Vipers SC.
Ipi nafasi ya washiriki hawa wenye matumaini ya kufika nusu fainali na wakijua kabisa team yao sio ya ushindani kama walivyo wenzao Yanga SC...?View attachment 2561747
Kijana upo mbona kimya Sana au ulilimwa banNgoja MAKOLO yaje yakugaragaze!