Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na walifanya uhuninwakijua si haki kwa matarajio kuwa Simba watasusia mechi. Huku si kususia mechi bali kutaja u hu guzi ufanyike wa kina kuhusu hii saga. Wale mabaunsa wa yanga walipata maelekezo ya kufanya vile toka kwa nani?Mnajitekenya na kucheka wenyewe. Mnashindwa kufuata kanuni mkijua italeta shida halafu mnakimbilia kusema mwingine ndiyo kakimbia mechi.
Sahihi kabisa. Siyo tu suala la kuahirisha mechi bali yafanyike maamuzi sahihi na mazito kusafisha huu uozo ili usijirudie tena.Na walifanya uhuninwakijua si haki kwa matarajio kuwa Simba watasusia mechi. Huku si kususia mechi bali kutaja u hu guzi ufanyike wa kina kuhusu hii saga. Wale mabaunsa wa yanga walipata maelekezo ya kufanya vile toka kwa nani?
Nyinyi mbona mlisusia mechi kisa mchezo kusogezwa lisaa limoja mbele?Sababu yenu ya kususia hii mechi haina mashiko hata kidogo. Na kwa hiki kitendo chenu, hakika Watanzania wenye akili timamu, watawadharau milele.
Endeleeni kulelewa na karia waoga wakubwa nyie,mmechungulia mkaona kuna 8 zinakuja😂😂😂 hii mechi hata ichezwe miaka miwili ijayo mtaliwa vizur tuSahihi kabisa. Siyo tu suala la kuahirisha mechi bali yafanyike maamuzi sahihi na mazito kusafisha huu uozo ili usijirudie tena.
Adhabu ni ndogo sana haiendani na kosa. Lazima kwanza tuheshimiane.Cjawai kusikia mechi imeahirishwa kwasababu yakijinga kama hii, jambo hili ilibid mechi ichezwe zen adhabu inatolewa nje yauwanja
Waulize viongozi wako watakwambia na wao walivyochungulia waliona nini hadi wakaona waizuie Simba isifanye mazoezi!Endeleeni kulelewa na karia waoga wakubwa nyie,mmechungulia mkaona kuna 8 zinakuja😂😂😂 hii mechi hata ichezwe miaka miwili ijayo mtaliwa vizur tu
Yanga ilisusiaje mchezo na wakati ilifika uwanjani kwa muda uliokuwepo kwenye ratiba, na baada ya kufuata taratibu zote ikatoka uwanjani!!Nyinyi mbona mlisusia mechi kisa mchezo kusogezwa lisaa limoja mbele?
Kwahyo unadhani nani anamuogopa mwezake ni simba ya yangaMnajitekenya na kucheka wenyewe. Mnashindwa kufuata kanuni mkijua italeta shida halafu mnakimbilia kusema mwingine ndiyo kakimbia mechi.
Hata nikikupa jibu hatutaafikiana.Kwahyo unadhani nani anamuogopa mwezake ni simba ya yanga
Leta timu uwanjani unaogopa nini wewe? Hujajiandaa wiki nzimaMnajitekenya na kucheka wenyewe. Mnashindwa kufuata kanuni mkijua italeta shida halafu mnakimbilia kusema mwingine ndiyo kakimbia mechi.
Nilete timu wakati waamuzi, TFF, Bodi, mashabiki na hadi AZAM TV wapo zao nyumbani wanaenjoy weekend.Leta timu uwanjani unaogopa nini wewe? Hujajiandaa wiki nzima
Kanuni gani inasema ukizuiliwa kuingia uwanjani kufanya mazoezi unatakiwa ugomee mechi?Sheria na kanuni zinawekwa kwa sababu maalumu. Hauwezi tu ukaamka ukazivunja kwa kisingizio cha eti hizo sheria au kanuni siyo muhimu. Wenye akili hawana mawazo kama yako.
Mara ya mwisho kwenye Derby ni lini simba akiwa mgeni amewahi kufanya mazoez siku moja kabla?. Timu kubwa jinga linazilaum club zingine kuwa zinauza mechi ILI hali lenyewe linakimbia 🤭🤭🤭😃Sheria na kanuni zinawekwa kwa sababu maalumu. Hauwezi tu ukaamka ukazivunja kwa kisingizio cha eti hizo sheria au kanuni siyo muhimu. Wenye akili hawana mawazo kama yako.