mungita
Member
- Mar 8, 2017
- 63
- 39
Nasoma majibu yako kiufupi naweza kusema hamna unachojua,Ask yourself
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasoma majibu yako kiufupi naweza kusema hamna unachojua,Ask yourself
Kama hizo vaccine ni live attenuated, uwezekano wa kupata korona ni mkubwa. Ni kama mtu anaepata chanjo ya BCG sio kwamba hatokuja apate TB, itadepend na immune status ya mda huo unacontract virus/bacteria. Ukipawa vaccine labda ya covid, virulence(uwezo wa kusababisha ugonjwa) ya mdudu inakuwa ndogo sana. Hiyo itasaidia mwili kuzalisha antibodies nyingi za kufight virus, na hata memory cells zitaweka kumbukumbu kwa infections zitakazo kuja baadae, ila ikitokea immunity yako ipo weak at a time uwezekano wa kuumwa zaidi upo na ukizingatia kinachoathiri zaidi kwa mtu aliepata covid sio kirusi chenyewe bali ni cytotoxins zinazozalishwa na mwili kushambulia cells zenyewe zimeingiwa na virusAsk yourself
Kama hizo vaccine ni live attenuated, uwezekano wa kupata korona ni mkubwa. Ni kama mtu anaepata chanjo ya BCG sio kwamba hatokuja apate TB, itadepend na immune status ya mda huo unacontract virus/bacteria. Ukipawa vaccine labda ya covid, virulence(uwezo wa kusababisha ugonjwa) ya mdudu inakuwa ndogo sana. Hiyo itasaidia mwili kuzalisha antibodies nyingi za kufight virus, na hata memory cells zitaweka kumbukumbu kwa infections zitakazo kuja baadae, ila ikitokea immunity yako ipo weak at a time uwezekano wa kuumwa zaidi upo na ukizingatia kinachoathiri zaidi kwa mtu aliepata covid sio kirusi chenyewe bali ni cytotoxins zinazozalishwa na mwili kushambulia cells zenyewe zimeingiwa na virus
Conspiracy theories zipo nyingi, nyingine zinapatana na akili. Na almost vaccine zina side effect za mda mfupi tunazozifahamu, za mda mrefu ni zipi watu hatujui kama inavosemwa kuwa hii chanjo inaenda kubadili mfumo vinasaba mwilini. Matokeo tutayapata miaka ya baadae