Dunia ya sasa ni kutegemeana kuanzia bei ya mafuta, mbolea, vitu kutoka china, magari, teknologia na vipuli. Hivyo tusishangae bei ya vitu Tanzania kuwa juu.
Bank kuu pamoja na wizara ya fedha wajitahidi lakini tusiweke lawama zote kwa serikali kwenye hili kwa sasa. Hata tungekuwa na malaika bei kupanda ingekuwa ni tatizo kwa sasa. Nchi zote Duniani zina tatizo la mfumuko wa bei. Tuombee zaidi na kuwapa muda mimi nipo US na napigika na bei sana sana.
Wanao laumu Chadema kutokusemea hili waelewe Chadema hasa Mbowe anajua hili. Lema yupo Toronto Canada muulizeni bei ya vitu ukilinganisha na mwaka jana uone
Bank kuu pamoja na wizara ya fedha wajitahidi lakini tusiweke lawama zote kwa serikali kwenye hili kwa sasa. Hata tungekuwa na malaika bei kupanda ingekuwa ni tatizo kwa sasa. Nchi zote Duniani zina tatizo la mfumuko wa bei. Tuombee zaidi na kuwapa muda mimi nipo US na napigika na bei sana sana.
Wanao laumu Chadema kutokusemea hili waelewe Chadema hasa Mbowe anajua hili. Lema yupo Toronto Canada muulizeni bei ya vitu ukilinganisha na mwaka jana uone